Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mbona humu siku hizi hamna amsha amsha !? ...yaani mapicha, maelezo na malink !
 
Kwani kuna mwenye jukumu la kuwa kihere here !? ...nimekumbusha watu walifanye jukwaa active, wewe unakerekwa nini ? ....tuliza mshipa wako !
Nani wakulifanya jukwaa kuwa active zaidi yenu nyie mashabiki maandazi?
Kila mtu akiwa parasite kama wewe jukwaa litakuaje active.
 
Nani wakulifanya jukwaa kuwa active zaidi yenu nyie mashabiki maandazi?
Kila mtu akiwa parasite kama wewe jukwaa litakuaje active.
Wewe wacha kujishauwa shauwa kama malaya wa buguruni ! wewe ndo unajiona ulichimba msingi wa Anfield !? ...shika hamsini zako, usinizoe na tabia zako za kishoga shoga.
 
Wewe wacha kujishauwa shauwa kama malaya wa buguruni ! wewe ndo unajiona ulichimba msingi wa Anfield !? ...shika hamsini zako, usinizoe na tabia zako za kishoga shoga.
Uandikaji wako tu unaonesha wazi kuwa we ni mboga.

Mtoto wa kiume unaandika shauwa, maana yake nini?
 
Sijaelewa kwa nini mnatukanana nmefatulia mjadala wenu sijaona kwanini mmefikia hatua kubwa kama hyo
Pole kaka, kuna vihere here ambao wana kero sana. Nilikuwa na himiza members na koppites kuwa uzi umepoa, hivyo news na some good pictures are needed. Nashaanga jamaa anishamulia. Aiseeh nime mind sana, Anyway, wacha nimpuuze !
 
IMG_20161216_173113.jpg
 
Kabisa Mkuu bench kuna namna linafunza, Uyu Karius naamini akija kurudi langoni ataongeza umakini maana jana linuna balaa

hahahaha

Mignolet always huwa anareact vizuri akiwekwa bench..

si unakumbuka hata kipind kile BR alivyomweka bench dhidi ya Brad Jones..alivyorudi alicheza vizuri..then akarudi kwenye errors tena..

confidence ni main problem kwa Migs.
 
Mosdef nimeona Klopp akimzungumzia Mignolet na form aliyokuwa kuwa nayo Jana nadhani tatizo kubwa LA bwana huyu ni jinsi gani ya kuanzisha mipira mirefu ASA kwa wings zetu pindi tukipata mipira hiyo but nadhani ni wakati wa kumpa nafasi

spot on Mkuu..

ni weaknes kubwa ya Migs hiyo..

karius ni mzuri kwenye hilo eneo la ball distribution.

but nahisi atakaa bench kidogo..kina JC na Neville's brothers, na kina Pearce wameharibu sana confidence ya dogo kwa biased criticims..
 
Zorc anaonekana kukataa move ya Christian Pilisic on this January sijui technical bench wataamua nini maana injury ya DS haeleweki

lol, Guess Zorc hana pressure, dogo mkataba wake unaisha 2019..kumtoa pale inahitajika hela ndefu, and anajua klopp hawez toa kiasi atakajohitaji kwasasa..

but i think, we should be targeting options za kwenye defense, sana sana new CB..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom