Kwa mashabiki wote wa soka tumekutana hapa JF tukibadilishana habari mbalimbali tunapongezana na kutaniana kuhusu timu tunazoshabikia ,now mmoja ya waasisi wa kijiwe chetu ambacho tunakutana hapa anashikiliwa na polisi.Tujitokeze kupaza sauti zetu kulaani huu unyanyasaji anaofanyiwa tusikae kimya kwenye hili tuendelee kupaza sauti kwenye mitandao yote ya kijamii(Facebook,Twitter,Instagram nk ) kulaani unyanyasaji huu.Tutumie hashtag [HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
Kabisa Mkuu bench kuna namna linafunza, Uyu Karius naamini akija kurudi langoni ataongeza umakini maana jana linuna balaalets be honest..
Migs was V V V good y'day..
Bench has taught him well..
kazicheza mpaka Crosses jana lol..
Migs hatabiriki kabisa..but kama ataendelea kuwepo golini Monday..naomba tu awe katika form ya Jana..
Kumbe na wewe ni mwenzangu mkuuFinally Karius kapewa anachostahili mimi kawekwa bench leo mimi naona sawa tu. Hii itamfanya ajifunze kitu kua ukikosea unakaa bench haijarishi record zako wala wewe ni nani. Naamini pitia hili ata improve kuliko kuendelea kupata namba while unaendelea kukosea
Nimefurahi kuona tupo pamoja mkuu.Ni muda mwingine tena tunakutana kwenye live comentary licha ya kuwa leo sipo kwenye mood nzuri ila ninapoona nembo YNWA macho kodoooo...Pamoja tutafika
Yeah am a Pure Kopite.Kumbe na wewe ni mwenzangu mkuu
Dah nimefurahi mno huwezi amini.Yeah am a Pure Kopite.
[HASHTAG]#Liverbirdonmychest[/HASHTAG]
Aaaaaah!!..Nimefurahi kuona tupo pamoja mkuu.


..Mzee wa mikeka na wewe upo huku..???Mimi shabiki lia lia wa Liverpool mkuu.Aaaaaah!!....Mzee wa mikeka na wewe upo huku..???
Koncho77 mimi pia ni shabiki mkubwa sana wa liverpoolMimi shabiki lia lia wa Liverpool mkuu.

Dah kumbe tupo wengi wazee wa mikekaKoncho77 mimi pia ni shabiki mkubwa sana wa liverpool![]()
![]()
![]()
Tatizo ni umri wake tu lakini yuko vizuri sana hana makosa ya umakini kabisa ningependa klopp siku awachezeshe klavan na matip pale nyuma 1 dayNapenda sana style ya uchezaji ya ragnar klavan. Jamaa na utulivu wa hali ya juu sana halafu ana distribute mipira vizuri sana.
Mimi hao wote tupa kule Sakho ndio chombo hivi kwa nini anapigwa benchi?Tatizo ni umri wake tu lakini yuko vizuri sana hana makosa ya umakini kabisa ningependa klopp siku awachezeshe klavan na matip pale nyuma 1 day