Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,943
wanaruhusiwa na wana mamlaka ya kubadilisha Coaches na bench la ufundi lote..
Benitez alikuwa na Valero..
hawa vilaza wengine kina Hodgson, Daglish and Rodgers walikuwa na Achterberg..
Klopp kaja kabadilisha kila kitu mpaka medical team, but akaamua kustick na Achterberg.
nahisi jamaa atakuwa ni good motivator kwenye dressing room..ndo maana managers wote wanamkubali..
Malafyale doesn't seem to think so!