fablo can
JF-Expert Member
- May 25, 2016
- 1,222
- 1,267
Vip mkuu mmechomoka kweliWachezaji wamejifunza kwa kilicho tupata kwa Bourn!Hapa ni nyumbani hatoki mtu salama
Vip mkuu mmechomoka kweliWachezaji wamejifunza kwa kilicho tupata kwa Bourn!Hapa ni nyumbani hatoki mtu salama
Yap it's true....Dirisha dogo sharti kufanya manunuzi...hiki kikosa nao jamaa (klopp) kaanza kuleta utaifa mbele sana kuliko utaalamu.....pia huyu FIRMINO sijui kama ni mbrazil maana utaalam unapungua kila kuchwapo.... yaani tungepata golikeeper kama wa chelshit na manure utd tungekuwa mbali sana hivi sasa......tukubali tukatae kipa ni pazia tu pale yaani hatuna tofauti na manshit daaaaah....!!! JOGOO jamani ananiangusha yaani kaanza kulowa mapemaaaaaaMkuu Hebu Jaribu Kuukubali Ukweli na Achana Na FALSE HOPE....! Ukweli Upo Wazi Kuwa Hatuna Kikosi Cha Ubingwa Bali Tuna Average Team Ya Kucontest Kwa Ajili Ya Top 4 tu....
Mkuu Wakati Mwengine Ukweli Huwa Haukimbiliki ni Kuaccept tu....
Mimi Nahisi Tungelikaza Angalau Tukawemo Katika Hile Top 4 tu Kwa sasa...
U can u use pythegorusHow can we solve this now..???
U can u use pythagoras theory to solve it.How can we solve this now..???
What apathetic fool..!!!!U can u use pythegorus
U can u use pythagoras theory to solve it.
Usimuite firmino muite boooooobyyyyyyKwa mtazamo wangu, Ufinyu wa kikosi pia unatugharimu, hebu fikiria Firmino alikuwa anaruka ruka tu lakini hata kama kocha angeamua kumtoa, nani angeingia?
mimi nadhani hatuna mtu pale benchi ambae akiingia anaweza kubadili matokeo...
pamoja na ubovu wa kipa wetu na positioning mbovu ya mabeki bado kocha anahitaji kusajili ili kuwa na kikosi kipana...
Kwa mtazamo wangu, Ufinyu wa kikosi pia unatugharimu, hebu fikiria Firmino alikuwa anaruka ruka tu lakini hata kama kocha angeamua kumtoa, nani angeingia?
mimi nadhani hatuna mtu pale benchi ambae akiingia anaweza kubadili matokeo...
pamoja na ubovu wa kipa wetu na positioning mbovu ya mabeki bado kocha anahitaji kusajili ili kuwa na kikosi kipana...