Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kutoka 2-0 kuja 2-1, halafu 3-1 and finally 3-4.
Naona Karius amelewa sifa, beki nayo ni ya kurekebisha.
 
Ndio EPL hiyo khe kheeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee tunahamia kwa Manure chacha khe khe kheeeeeeeeee tuone itakuwaje .. .... ... ..
 
Naona mchezaji wa mkopo kutoka Chelsea Nathan Ake anatengeza gap zuri tu hii ndio kazi tuliyomtuma
 
You always lose alone. Hahahaha baiskeli ya miti imeshindwa kupanda kilima cha Drive -In. Well done Bournemouth, Wilshere, our reject Afobe and your own reject Ibe. Kama anavyosema Wacha1 khe khe khe khe khe
 
Mpinzani wetu kwenye ubingwa mwaka huu ni Chelsea
Hawa Man City na Arsenal hamna kitu,February sisi na Chelsea atakaye pona kuwa na majeruhi wengi ndiyo bingwa

Huyu jamaa chijui yuko wapi baada ya mtanange khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Poor defensive today. Middle was dead at last 30 min. Defense win the game, you can't win with today defensive play.
 
Dah! 3-1 and you lose 4-3! That is the beauty of BPL. Poleni humu Wakuu mie nilishawatilia 3 points kwenye kapu lenu. Haka katimu ni hatari sana hawakati tamaa wanakuja tu na ukizembea tu inakula kwako.
 
It's ok, tujipange tu na game ijayo,

wachezaj walijisahau

kitu kama hiki nafikiri hii na mara ya 3 kinajitokeza

All in all YNWA!!
 
1480865767660.png
 
Duh!
Huu ni upuuzi sasa, from two nil at half time mpaka kufungwa nne kwa tatu!
Am very disappointed kwa kweli...
Very disappointed kwa kweli. Timu haikuwa vizuri kwa kweli. 70% ya mpira tumecheza nusu yetu. Posi za nyuma tuuuu au za pembeni. Wachezaji hawana physics, wamekuwa laaini kama wamekula mlenda.


Kutoka 2-0 kuja 2-1, halafu 3-1 and finally 3-4.
Naona Karius amelewa sifa, beki nayo ni ya kurekebisha.
***** zao wameshindwa hata kutoa sare kenge hawa.....aaarrrggghhhh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom