Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Hahaaaa naamini hiyo red ni Lucas ... let us wait nitarudi baada ya half ya kwanza maana Bournemouth..!!??Sina amani na hii backline kabisa. Kwa nini Klavan asianze badala ya huyu jamaa (red)?
Nahisi tuta-concede free kicks za kizembe kwenye danger areas kwa vile hawa jamaa wana attacking mids wazuri sana.
Lucas vs Calum Wilson = penalty inaita hapo.
Worried!