Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nilibet liverpool wamepona kichaa chao kumbe bado
 
Inabidi gemu ijayo acheze Mignolet kwa kweli...
e0cdcd7e997a09a60a15ec90fc82e01f.jpg

Kweli mkuu huyu tumbafu kabisa
 
upload_2016-12-4_15-54-44.png


upload_2016-12-4_15-55-30.png


upload_2016-12-4_15-57-41.png


Khe khe ke kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Binafsi matokeo ya leo hayanishangazi nilipoiona line up. Nilisema kabla ya mechi kuwa backline yetu ni majanga against a dynamic team like Bournemouth ambayo ni attack-minded....and it proved to be exactly that.

Leo nadhani tutakubaliana kuwa Mignolet to Karius is a downgrade. Goli la 2 na la 4 Mignolet asingefungwa.

Milner had a game he'll want to forget quickly. He was severally being caught out of position and he didn't have to make that tackle iliyosababisha penalty.

Hey....remember we're Liverpool. We go again. This was one of those days.
Chelsea, Arsenal, ManCity, etc - all these will have those same days am sure.

YNWA!
 
Hapana Mkuu! Lucus Ni Mchezaji Wa Kumuamini Kwa 100%...
Lucus Ni Miongoni Mwa Wachezaji Wachache Wanaotumia Akili Zaidi Wawapo Kwenye Pitch....
Mimi pia nilikuwa na doubt juu ya Huyu Jamaa, Lakini His last Two matches Nimemkubali Sana Katika Ukabaji...
Mkuu upo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom