ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 8,252
- 14,792
Hahahaaaaa........wiki kabisa? siyo mbaya ukiwa na Fermino, Mane na Origi unaweza kuwaza kitu na kikawa.Tuna goli 7 ktk hii game
Hahahaaaaa........wiki kabisa? siyo mbaya ukiwa na Fermino, Mane na Origi unaweza kuwaza kitu na kikawa.Tuna goli 7 ktk hii game
Umeongea ukweli mkuu, mimi pia nilidhani jana wangetoa droo "but where"!Ila Chelsea ananiogopesha mno
naona ubingwa ni Chelsea na sisi tu....
na sioni timu ya kuifunga Chelsea ingine
nilitegemea City na Spurs waweke breki but wapi
Mpinzani wetu kwenye ubingwa mwaka huu ni Chelsea
Hawa Man City na Arsenal hamna kitu,February sisi na Chelsea atakaye pona kuwa na majeruhi wengi ndiyo bingwa
Sure! sasa hivi wa kumwombea njaa ni Chelsea,naombea Chelsea wakiyumba wayumbe mfulululizo..hata game 3 hivi
naona City ndo baasi
ubingwa watausikia redioni
Inabidi uanze kuvaa miwani. Hamna penalt pale, jamaa alijiangusha.Bourn wamenyimwa pen hapa all replays zinaonyesha hivyo, chacha huyu refa atatafuta sababu next time baada ya mistake ... ....
Kabisa!Kwa vyovyote vile lazima Liver iwe na GD kubwa,
Huu msimu hautabiriki, huenda points zikafungamana.
Inabidi uanze kuvaa miwani. Hamna penalt pale, jamaa alijiangusha.
Pamoja na kuwa mbele kwa goli mbili sijafurahia jinsi tulivyocheza. Tumepiga pasi za nyuma nyingi sana. Sitashangaa hii first half mabeki wetu wakaongoza kwa touch ball kuliko viungo wetu, Hedo na Wildjinaldum.
Kwanini Klavan asingeanza badala ya Lucas?
Nimekupata Kikolo!Kikolo!
Lucas kiongozi wa kutuliza hawa vijana!Infact games kubwa kama na Man City au Chelsea huwa napenda acheze yy na Matip
He's very calm akiwa anakaba ndani ya 18
Ha ha ha ha...nimeshapata, and am happy nowMkuu Vipi Bado Hujapata Jibu Kwanini Anacheza Lucas Badala Ya Klavan?...
Inabidi uanze kuvaa miwani. Hamna penalt pale, jamaa alijiangusha.
Pamoja na kuwa mbele kwa goli mbili sijafurahia jinsi tulivyocheza. Tumepiga pasi za nyuma nyingi sana. Sitashangaa hii first half mabeki wetu wakaongoza kwa touch ball kuliko viungo wetu, Hedo na Wildjinaldum.
Hiyo huwa ngumu kidogo kama tumefunga hahahaahaTupate clean sheet na leo itusaidie...