Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Clopp anasema Lallana na Firmino wamerejea mazoezini tangu jana, Sturridge bado...
 
MATCH DAY.

Coutinho and Sturridge are out.

Lallana comes in.

think it will be;-

Karius, Clyne, Matip, Lovren, Milner, Henderson, Can, Lallana, Mane, Origi, Firmino.

i'de like to see Wijnaldum kwenye hiyo nafasi ya Origi, but nadhan Origi atakuwa anahitajika sana kuzuia mashambulizi ya Bournemouth kutokea nyuma. Bournemouth will press us today, cha msingi ni midfield yetu kuto-panic.

Tunahitaji hizi 3 points leo, coz tuna 2 easy games at home baada ya leo. Tunahitaji kukusanya points zote muhimu. I want us to be on top of the table at X-mass.

we better win today.
 
kuna ishu nyingine ambayo hatuijui kati ya Sakho and Klopp, i think kuna mengi zaidi nyuma ya pazia.

Klopp didnt like MK's atitude at dortmund, but aliendelea kumpa nafasi uwanjani. But ni kitu gani kinafanya klopp amchukie Sakho kiasi hiki?

anyway, as long as we're winning games, couldnt care less..
 
MATCH DAY.

Coutinho and Sturridge are out.

Lallana comes in.

think it will be;-

Karius, Clyne, Matip, Lovren, Milner, Henderson, Can, Lallana, Mane, Origi, Firmino.

i'de like to see Wijnaldum kwenye hiyo nafasi ya Origi, but nadhan Origi atakuwa anahitajika sana kuzuia mashambulizi ya Bournemouth kutokea nyuma. Bournemouth will press us today, cha msingi ni midfield yetu kuto-panic.

Tunahitaji hizi 3 points leo, coz tuna 2 easy games at home baada ya leo. Tunahitaji kukusanya points zote muhimu. I want us to be on top of the table at X-mass.

we better win today.
That is the best line up without our magician.Sijakuelewa hapo kwenye nafasi ya Wijnaldum na Origi...
 
That is the best line up without our magician.Sijakuelewa hapo kwenye nafasi ya Wijnaldum na Origi...
Origi ni number 9, but chini ya Klopp Firmino ndio our number 9, so Origi anacheza pembeni, akimsaidia kwa ukaribu Bobby, kwa mantiki hiyo kwenye line up, origi ataonekana kama Winger/kutokea pembeni, but on the pitch atakuwa ni in & out number 10, wing ya kulia itakuwa ya Mane tu. Link up play itakuwa kati ya Lallana na Origi, ili kuhakikisha Firmino na Mane wanapata mipira. Origi anaingia moja kwa moja kwenye nafasi ya Coutinho, but he wont play deep. Watakuwa wanabadilishana na Firmino pale mbele at times, (kulingana na pressing ya Bournemouth) but Firmino will remain as our false #9.

Wijanaldum ni attacking Mid (ndio role yake halisi), alicheza kwenye hilo eneo once kwenye cameo yake katika game ya Watford. So it could be Mane, wijnaldum and Firmino, ambapo wijnaldum angecheza nyuma ya firmino kutokea pembeni (kama Origi) kutokea pembeni ni kwasababu ya kumuachia Lallana freedom katika ile half-central zone ya Bournemouth katika ku-cause damage. But we need pace upande wa kushoto, ndo maana it make sense Origi kuanza hii game.
 
So ni kama vile hii 4-3-3 yetu ukiichanganua zaidi unakuta ni 4-2-2-2 kama nimekupata vizuri MosDef

yeah, exactly man.

formation yetu msimu huu ni 4-3-3 on paper, but kwenye pitch huwa tunabadilika, kulingana na Midfield ya siku hiyo.

so Yeah, 4-2-2-2, or 4-3-2-1, 4-2-2-2 is much better though, depending na ufit wa Can na Lallana, inahitaji quick release ya mpira, ili kuruhusu smooth link up ya Lallana na Coutinho au Origi kwa leo. So kama Lallana akiwa off-form, tunarud katika 4-3-2-1, ambapo Mane anarudi chini kusaidia, and coutinho anarudi deep zaidi katika Mid-3, na kumuacha Bobby peke yake. (but Bobby is Stuborn, hapend kukaa bila mpira or atleast kukaba, so unamkuta nae anarudi ndani kupress, nadhan ulicheki game ya Southampton)..

leo itakuwa ni 4-2-2-2, i guess, kama ilivyokuwa kwa Sunderland na leeds. (hope can, Lallana and Origi will have a great game)
 
No Matip today and Lalana on the bench,Lucas get another chance.nna wasiwasi na creativity hapa kati between Can,Gini,and Hendo.
 
MATCH DAY.

Coutinho and Sturridge are out.

Lallana comes in.

think it will be;-

Karius, Clyne, Matip, Lovren, Milner, Henderson, Can, Lallana, Mane, Origi, Firmino.

i'de like to see Wijnaldum kwenye hiyo nafasi ya Origi, but nadhan Origi atakuwa anahitajika sana kuzuia mashambulizi ya Bournemouth kutokea nyuma. Bournemouth will press us today, cha msingi ni midfield yetu kuto-panic.

Tunahitaji hizi 3 points leo, coz tuna 2 easy games at home baada ya leo. Tunahitaji kukusanya points zote muhimu. I want us to be on top of the table at X-mass.

we better win today.


Mkuu Matip ni Injury wa Ankle Kwahiyo Nafasi Yake itachukuliwa na Lucus...
Kikosi Confirmed ni hichi ↓↓

Liverpool team: Karius, Clyne, Lovren, Lucas, Milner, Henderson, Can, Wijnaldum, Mane, Firmino, Origi.

Substitutes: Mignolet, Klavan, Moreno, Alexander-Arnold, Ejaria, Lallana, Woodburn.
 
No Matip today and Lalana on the bench,Lucas get another chance.nna wasiwasi na creativity hapa kati between Can,Gini,and Hendo.

Sina amani na hii backline kabisa. Kwa nini Klavan asianze badala ya huyu jamaa (red)?

Nahisi tuta-concede free kicks za kizembe kwenye danger areas kwa vile hawa jamaa wana attacking mids wazuri sana.
Lucas vs Calum Wilson = penalty inaita hapo.

Worried!
 
No Matip today and Lalana on the bench,Lucas get another chance.nna wasiwasi na creativity hapa kati between Can,Gini,and Hendo.

Mkuu Ijengee Trust hii Trio ya Hendo, Can & Gini pamoja na Trio ya Mane, Fami & Origi...
Namuamini Sana Origi Kwa Kuicollapsisha Defence line ya Bus-parking Team Kwani Jamaa Anapace Ya Kuotea ilea mbaya...
All my trust today nimeilekeza Kwa Origi Ninaeamini Kuwa Golden boy...
 
Sina amani na hii backline kabisa. Kwa nini Klavan asianze badala ya huyu jamaa (red)?

Nahisi tuta-concede free kicks za kizembe kwenye danger areas kwa vile hawa jamaa wana attacking mids wazuri sana.
Lucas vs Calum Wilson = penalty inaita hapo.

Worried!

Hapana Mkuu! Lucus Ni Mchezaji Wa Kumuamini Kwa 100%...
Lucus Ni Miongoni Mwa Wachezaji Wachache Wanaotumia Akili Zaidi Wawapo Kwenye Pitch....
Mimi pia nilikuwa na doubt juu ya Huyu Jamaa, Lakini His last Two matches Nimemkubali Sana Katika Ukabaji...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom