Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

You gotta love Liverpool fans, kila ambapo Coutinho akienda international break na kucheza vizuri, wanaanza wenyewe na kumlink na move za Barcelona/Madrid.

Well, Madrid wapo kwenye transfer ban mpaka 2018 na hata kama wasingekuwa kwenye ban, they dont need Coutinho at all. Isco/James both struggling to get game time there, why wamuhitaji Coutinho?

Coutinho will never go to PSG.

Barcelona wont be able to sign Coutinho now, siyo kwa next summer au mwaka utakaofatia, they've just signed Dennis Suarez (waiting for him to explode), kwasasa wameanza kumuimarisha Rafinha (been getting a lot of game time lately)..Barca wont be able to afford hela ya kumtoa Coutinho Liverpool baada ya huu msimu (na FSG wakifanikiwa kumshawishi asign mkataba mpya ndo itakuwa ngumu zaidi). Wametoka kuwapa mikataba mipya Neymar na Suarez, na sahiv wanajiandaa na maongezi ya mkataba mpya na Messi. If Barca wanted to replace Iniesta kwa kumtumia Coutinho, basi wangemsajili Coutinho badala ya Andre Gomes (he's adjusting slowly).


Lastly, Coutinho is not a Money oriented player, kama Barcelona wakija, ataondoka tu, hata umpe £500k per week, ni ndoto ya kila m-South America kuchezea Barcelona, Suarez accepted a pay cut kujoin Barcelona (he was on £200k wakat anakaribia kujiunga na Barcelona akitokea Liverpool). So huwezi kumzuia Coutinho kuondoka LFC, and Bora Coutinho, Firmino ndo kabisa kwasababu ni Barcelona fan.
 
Siku ikitokea Barca/Madrid/Bayern wakawataka Coutinho na Firmino kwa pamoja, atakaye kuwa wa kwanza kukubali kuondoka LFC ni Firmino na siyo Coutinho.
 
You gotta love Liverpool fans, kila ambapo Coutinho akienda international break na kucheza vizuri, wanaanza wenyewe na kumlink na move za Barcelona/Madrid.

Well, Madrid wapo kwenye transfer ban mpaka 2018 na hata kama wasingekuwa kwenye ban, they dont need Coutinho at all. Isco/James both struggling to get game time there, why wamuhitaji Coutinho?

Coutinho will never go to PSG.

Barcelona wont be able to sign Coutinho now, siyo kwa next summer au mwaka utakaofatia, they've just signed Dennis Suarez (waiting for him to explode), kwasasa wameanza kumuimarisha Rafinha (been getting a lot of game time lately)..Barca wont be able to afford hela ya kumtoa Coutinho Liverpool baada ya huu msimu (na FSG wakifanikiwa kumshawishi asign mkataba mpya ndo itakuwa ngumu zaidi). Wametoka kuwapa mikataba mipya Neymar na Suarez, na sahiv wanajiandaa na maongezi ya mkataba mpya na Messi. If Barca wanted to replace Iniesta kwa kumtumia Coutinho, basi wangemsajili Coutinho badala ya Andre Gomes (he's adjusting slowly).


Lastly, Coutinho is not a Money oriented player, kama Barcelona wakija, ataondoka tu, hata umpe £500k per week, ni ndoto ya kila m-South America kuchezea Barcelona, Suarez accepted a pay cut kujoin Barcelona (he was on £200k wakat anakaribia kujiunga na Barcelona akitokea Liverpool). So huwezi kumzuia Coutinho kuondoka LFC, and Bora Coutinho, Firmino ndo kabisa kwasababu ni Barcelona fan.
Ndo shida ya south american players, Barca wana mkomalia Coutinho maana Rafinha ni spana mkononi hawana guarantee ya kuwa nae msimu mzima bila ya kuwa na injury

Denis Suarez ni winger though he cuts inside huyu amechukuliwa kama back up ya Neymar au messi.

Dahoud bado ana sugulishwa bench mpaka sasa Borrusia??
 
Kwa Mishahara Ya Siku Hizi Huyu Cout anastahiki Alipwe £250,000 per week..

I think we're over-hyping Coutinho here, ni one of our best players but hajafikia kiwango cha kuwa mchezaji wa £250k p/w. Let the Kid reach his potential first. Msimu huu ameongeza kitu kikubwa alichokuwa anakimiss "Consistency" na hicho ndo kitamfanya kuwa "World Class".
 
I think we're over-hyping Coutinho here, ni one of our best players but hajafikia kiwango cha kuwa mchezaji wa £250k p/w. Let the Kid reach his potential first. Msimu huu ameongeza kitu kikubwa alichokuwa anakimiss "Consistency" na hicho ndo kitamfanya kuwa "World Class".
Mkuu MosDef hivi deal la Hector ndo limekufa kabisa au? Naona Pearce yupo kimya
 
Ndo shida ya south american players, Barca wana mkomalia Coutinho maana Rafinha ni spana mkononi hawana guarantee ya kuwa nae msimu mzima bila ya kuwa na injury

Denis Suarez ni winger though he cuts inside huyu amechukuliwa kama back up ya Neymar au messi.

Dahoud bado ana sugulishwa bench mpaka sasa Borrusia??

Hilo suala la Barca kumkomalia Coutinho kwasasa HALIPO, hawajaonesha genuine interest yoyote ile kwa Coutinho mpaka sasa. (they dont need him right now, labda mpaka kile wanachokijaribu kwa kina Dennis/Rafinha/Gomes kifeli). Rumuors za coutinho kwenda barca zipo tangu 2013, and ni kwasababu his 2 best friends (Neymar na Suarez) wapo pale na huwa wanasema "wanapenda kucheza na Coutinho". But apart from that Barcelona hawana interest na Coutinho "kwasasa"

Dennis Suarez plays the exactly role anayocheza Coutinho, ni natural number 10, anaweza akacheza kama winger and katika midfield 3. tangu Iniesta aumie kwenye baadhi ya games (kama ile ya Sevilla) Lucho alimtumia kweye ile role ya Iniesta.

Back up ya Neymar ni Arda Turan, not Dennis Suarez.

Barcelona "hawana" interest na Coutinho kwasasa, team ambayo imeonesha genuine interest na Coutinho ni PSG tu ya france, team ambayo Coutinho hawezi kwenda hata kidogo.


Dahoud anakula Mkeka vibaya Sana, BMG wanaihandle hii ishu kiswahili sana, situation ya Dahoud ni kama ilivyokuwa sisi na Sterling. But kwa Dahoud imekuwa too much. Naona wanamkomoa. dogo atakuwa anaombea January ifike fasta.
 
Hector beki mzuri sana
Akija Liverpool huyu tutakuwa 100% sawa pembeni
JK msamehe Sakho pls
Akicheza Sakho na Matip tutakuwa sawa sana katikati
 
Hector beki mzuri sana
Akija Liverpool huyu tutakuwa 100% sawa pembeni
JK msamehe Sakho pls
Akicheza Sakho na Matip tutakuwa sawa sana katikati

Acheze Sakho? Mkuu Kwa Mpira Wa Kasi Tunaocheza Sasahivi Unadhani Jitu lile Zito Linafaa Wapi?

Hebu ikumbuke Gemu Yetu na Dortmund Ya Europer Tulyowafunga 4 - 3 Sakho alivyopelekwa Mbio na Aubemyang na Mkhitaryan alivotufungisha Magoli Ya Kizembe...
Mkuu Sakho Ni Wakuondoka tu Lakini Kwa Liverpool Beki Zito Kama Lile Lisiloweza Hata Kukimbia na Kukaba Halitufai..
 
Kithread uchwara hiki
Yaani nyie ni looser mpaka kwenye namba za coments...GGMU
 
Jamani@ hakuna majeruhi huko maana hii mimechi ya kimataifa Ni kero tu
 
Magoli kua nayo mangi si hoja hoja ni nani yuko vzr kuliko mwenzake? Coutinho ni bora kuliko huyo Mane na ndio maana Cout anawekewa marking kubwa na timu pinzani. ......

Upo hapo mkuu
Daaah! mkuu umeongea ukweli mtupu maana hata mi huwa sioni uhatari wa costa ingawa anaongoza kwa magoli epl by now. costa hajui mpira kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom