Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Naangalia live score kati ya England na spain naona lalana alitolewa dk27 vipi aliumia au?
 
82fdcb137438d9ae48ecb240ab93d639.jpg
 
Naangalia live score kati ya England na spain naona lalana alitolewa dk27 vipi aliumia au?
Niliangalia hii mechi, ila injury ya Lalana sikuielewa kabisa! Na alitoka akiwa anatembea vizuri tu.
 
Jamani wana KOPS wenzangu
Kuna majeruhi yyt reported so far?
Coutihno na Firmo wamemaliza salama mechi zao
Mane alimaliza salama pia
Origi na Migs pia walimaliza salama
Klav alimaliza salama ingawaje alikula 8 na Belgium
Vipi Lallana na Hendo?Vipi kuhusu Dan?
 
Kama Lallana kaumia, Gini comes in for him.
Kocha huyu wa Uingereza mbona anawachezesha akina Hendo na Clyne dakika 90 friend game?Isha ona hii mara mbili sasa!Huu ni upuuzi aisee
Klopp amkoromee aache!Friend game dakika 45 tu zinatosha
 
Kocha huyu wa Uingereza mbona anawachezesha akina Hendo na Clyne dakika 90 friend game?Isha ona hii mara mbili sasa!Huu ni upuuzi aisee
Klopp amkoromee aache!Friend game dakika 45 tu zinatosha

Mpira wa England una pressure sana, angepoteza hiyo game, Medias na fans wangemsumbua sana, ndo maana anakuwa anachezesha wachezaji dk zote, ilimradi tu asipoteze games.

Pressure inamsumbua.
 
Jamani wana KOPS wenzangu
Kuna majeruhi yyt reported so far?
Coutihno na Firmo wamemaliza salama mechi zao
Mane alimaliza salama pia
Origi na Migs pia walimaliza salama
Klav alimaliza salama ingawaje alikula 8 na Belgium
Vipi Lallana na Hendo?Vipi kuhusu Dan?

Kwa Lallana tu, ndiyo kuna concern. But not that serious.
 
Da Minyo anavyobetua midomo akiwa benchi
 

Attachments

  • Screenshot_2016-11-16-13-46-00.png
    Screenshot_2016-11-16-13-46-00.png
    74.9 KB · Views: 55

Ovie Ejaria, Huyu dogo naona atakuja kuwa hatari sana labda alete ukanjanja wa kutaka kwenda timu nyingine ila kwa ujumla yupo vizuri.
 
Countinho anaweza asicheze gemu ya kesho baada ya kuonekana jana akiwa hospital.hii gemu imekaa kimkosi mkosi tukishinda hii ubingwa ni wetu bila shaka.
 
Jose mourinho:
"I think Mr. Wenger has respect from others. I don’t think I have. My last league title was 18 months ago, NOT 18 YRS AGO"
 
Kocha huyu wa Uingereza mbona anawachezesha akina Hendo na Clyne dakika 90 friend game?Isha ona hii mara mbili sasa!Huu ni upuuzi aisee
Klopp amkoromee aache!Friend game dakika 45 tu zinatosha
Analibda ajira yake... He needs winners
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom