Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
![]()
najua hauna muda wa kusoma gazeti zima japo soma hio mistari minne tu ya mwanzo. Asante
Wazee wa historia, naona mnawafundisha na Man utd hii tabia!
![]()
najua hauna muda wa kusoma gazeti zima japo soma hio mistari minne tu ya mwanzo. Asante
Ni pepo lilitukamata na muda si muda tutamuaibisha shetaniWazee wa historia, naona mnawafundisha na Man utd hii tabia!
Hana lolote no matter do I watch Liverpool or not!....bado Mane hafiki kwa Phillip....
Pole sana maana waitamani sana hiyo historia. Yan wewe na klabu yako kamwe... kamwe ... hamwezi kuwa na historia wala kutengeneza historia kama hiyo.Wazee wa historia, naona mnawafundisha na Man utd hii tabia!
Pole sana maana waitamani sana hiyo historia. Yan wewe na klabu yako kamwe... kamwe ... hamwezi kuwa na historia wala kutengeneza historia kama hiyo.
Daah... kweli tumefikia hatua hii ya ustaarabu?Huna Premier League tittle, unazungumzia 18 League tittle mlizopata kipindi manyani yanacheza, hamna hata kona ukizidiwa unapiga mpira nje inakua goal kick
Wewe unaogopa kubebe kombe najua utaniachia tena kama mwaka 2009_2010Nipo mkuu
Naona Conte kawapa uhai
Mtakuwa wa pili mwaka huu
Kombe ni langu
Hamna wa kuzuia heavy metal kama hii
Hamnaga!!
Surprising ni vichekesho kuongoza ligi.Timu zingine nazo zitaanza kugombania kuwa vichekesho.Hana lolote huyo hapo kwenu kuna kale kamtu ka Coutunho tu lkn vingine vyote ni vichekesho tu
Wewe unaogopa kubebe kombe najua utaniachia tena kama mwaka 2009_2010
Ndo mtihani unapoanza kwa Klopp na Liverpool huyu mtoto amelelewa amekua mkubwa matajiri wanakuja kuchokonoa aondoke, wamsainishe mkataba mpya ili akiondoka tupige hela ndefu maana hamna namna.Brazil 1 Argentina 0
Dakika ya 40
Mfalme Coutihno anamfunika Neymar hapa
Kwa hii perfomance sidhani kama huyu kijana Summer mwakani atabaki
Tuanze tu kumtengeneza Grujic aisee
Halafu kumbuka tunamlipa hela MBUZI sana kwa weekNdo mtihani unapoanza kwa Klopp na Liverpool huyu mtoto amelelewa amekua mkubwa matajiri wanakuja kuchokonoa aondoke, wamsainishe mkataba mpya ili akiondoka tupige hela ndefu maana hamna namna.
Halafu kumbuka tunamlipa hela MBUZI sana kwa week
Mpuuzi kama Raheem Sterling anamzidi "Rey"(kama anavyoitwa akiwa kwao Jeneiro ikiwa na maana ya MFALME) zaidi ya mara mbili ya mshahara!Coutihno analipwa Pound 80,000 tu kwa week