ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 8,252
- 14,793
We're going to have Watford in the Abattoir.3 away points collected
Who's next?
Ynwa
It is doubtless that it will be another landslide victory.
We're going to have Watford in the Abattoir.3 away points collected
Who's next?
Ynwa
Hao Watford ndiyo tuwatengenezee mazingira tuwachape za kutosha, msimu huu goal difference itaamua ubingwa!The Next one is Watford at the home Ground! Obviously is another Three points for the Reds...
Aisee Wijnaldum apewe heshima umeona jinsi alivyoingia tu kati pakawa hai tena!!
Pamoja na form ya Henderson kuwa nzuri since start of the season nadhani its time Emre Can arudi original position yake ya defensive midfield herdo na lallana wacheze penmbeni na lallana na wijnaldum wa rotate depending on the kind of game the against team we are playingMkuu Ni Kweli Gini anahitaji Heshima Lakini Ni ukweli Usiofichika Kuwa Anapocheza Can Timu inakuwa Na Kasi Zaidi Kwasababu Can ana Pace Kubwa Zaidi Kuliko Gini.. Na Can alivyopania Kubeba Trust Ya Klopp kaamua Kumpiga Mpira Balaa Sana! Nadhani Leo umemuona!!
Leo Sababu Ya Timu Yetu Kuhangaishwa Sana Pale Kati Kabla Ya Kuingia Gini ilikuwa ni Tatizo la Lallana na Hendo Kwani Walifichwa Sana Mpaka wakawa Hawaonekani! bali Can Pekeyake ndiyo akawa anasumbua Pale Kati! Sasa baada Ya Kuwapiga Goli la 4 ndiyo palace morali yao ikafa ndiyomaana Alipoingia Gini akaziba yale Mapungufu ya Lallana...
Sasa niliwahi Kusema Kuwa Gini Ataekwa Benchi Na Can Kwasababu Can Anakwendana na hile Kasi Ya Mchezo Katika Kukimbiza Mipira... Nadhani ni wakati wa Gini Kukaza Buti la sivyo Can Hatanii...
Gini itampasa Kusubiri sana mbele ya Can..
That's word Comrade! Today's accuracy was not satisfactory.Commit suicide by hanging your self, not just a suicide.
But we need to work on accuracy View attachment 426280View attachment 426280
Pamoja na form ya Henderson kuwa nzuri since start of the season nadhani its time Emre Can arudi original position yake ya defensive midfield herdo na lallana wacheze penmbeni na lallana na wijnaldum wa rotate depending on the kind of game the against team we are playing
Yah!..ni kweli,c.palace walikuja na kasi sana,ila kloop nae aliligundua hiloLallana Na Hendo hawakua on good performance as we used to see them",..
I think padew saw it,. that's y 2nd half aliamua kupasua katikati zaidi.
Henderson is better going forward to defensively, naamini alijaribiwa hapo cause Can alianza msimu majeruhi and yes ameimudu nafasi vizuri sana but I believe kama Can Ataendelea kuwa fit all season na kupewa game time mpaka second half of the season in January atarudi tu hapo DM its a win-win for both playersMkuu Kwasasa Hakuna Haja Ya Kubadilisha Formation Yetu Kwani Kocha Kulingana Na Wachezaji Kahisi Ni Mfumo Huu Ndiyo Walioadapt Vizuri!
Kwahiyo Hawezi Kumrudisha Tena Can Katika Position Yake Ya Holding Midfield Labda itokee dharura tu ya Kuumia Hendo...
Henderson is better going forward to defensively, naamini alijaribiwa hapo cause Can alianza msimu majeruhi and yes ameimudu nafasi vizuri sana but I believe kama Can Ataendelea kuwa fit all season na kupewa game time mpaka second half of the season in January atarudi tu hapo DM its a win-win for both players
LFC kuhusu Can ni kweli lazima awe 1st Eleven ila awe defensive mid then Hendo awe na Lallana lasivyo utaona Hendo anahangaika hakuna anachofanya na inasababisha Lallana awe defensive naye, Winjnaldun akicheza huwa na Hendo wanabadilishana kupanda na kushuka, Gini anampa Hendo kuchezesha kwa kujiamini zaidi then Lallana anazunguka Nyuma yawale watu Coutinho+Firminho+Mane = waumiza Nyongo za Mabeki. Mane akienda Africa CAF basi Sturidge anarudi mbele tuombe Asisst za Coutinho kama ule msimu. LFC YNWA!
Mkuu Tatizo Lipo Kwa Captain (Hendo) leo Kapotea Mchezoni Hayumo Kabisa Ndiyo Maana Cabaye Akawa anafanya Anavyotaka.
Karius looks poor so far - Yes, he`s young and needs time blah blah blah.... but his errors are going to cost us sooner or later bora ya Mignolet a play yye