juan de otaru
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 211
- 113
kwa Leo sijaona tofauti ya karius kumzidi mignolet the same mistakesMimi bado sijaanza kum-rate Karius maana the same mistakes anazofanya Migs ndiyo anazifanya Karius ...
kwa Leo sijaona tofauti ya karius kumzidi mignolet the same mistakesMimi bado sijaanza kum-rate Karius maana the same mistakes anazofanya Migs ndiyo anazifanya Karius ...
Bora umewahi kujihukumu Mimi chichemi......mwambie aseme tu ila akisema akumbuke na kutizama chaupande wa pili pia walipataje goli?

Kumbe hatukupi usingiziSasa Tujiandaeni Kukata Kidomodomo Cha Man Fongo Manake Wanajeuri Sana Na Timu Lao La Kuunga unga
...... furahi sasa uko juu yetu....Leo Hapana ila siku hizi nimekuwa Martha Mwaipaja nifundishe kunyamazaTupo huwa hatuongei wakati wa game only scoreboard talk![]()
.....siongei
Mechi yake ya pili EPLkwa Leo sijaona tofauti ya karius kumzidi mignolet the same mistakes
Wakuu tumpeni muda tu, naamini atarudi kwenye game wenyewe tutafurahi. Tukumbuke muda mwingi amekuwa majeruhi. Lakini ado ado atakuja tu!!Sturridge ndo kawa mzigo aisee. Mipira alikuwa anapoteza na hakabi kabisa. Kaniudhi sana leo
Mkuu tuweke akiba ya maneno, haya majamaa yasije yakatufurusha mpaka tukapagawa!!Man U watakiona cha mtema kuni kwetu wakija
Man United lazima tuwachape!Mkuu tuweke akiba ya maneno, haya majamaa yasije yakatufurusha mpaka tukapagawa!!
Ka-Maourine katalia tena!!Man United lazima tuwachape!
Hahaaaa nyamaza tu.... mwenzako cute b dela alilonunua linamchachiaLeo Hapana ila siku hizi nimekuwa Martha Mwaipaja nifundishe kunyamaza![]()
![]()
.....siongei
![]()

na kama hujui unachoongea hujui tu 3 points LFC YNWA! tulitoa zarau
Statistics show that Liverpool have created more chances than any club in big European leagues!Baada ya kushinda maneno mengi..,
Mi niko nanyi kwenye shida na raha.. hongereni kwa leo
BACK TANGANYIKA
McAteer!