Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

tumerudi ila uwanja umejaa maji leo kweli si siku nzuri kwetu tusizarau.


Visingizio huwa havikosekani..

Kwahiyo ukijaa maji ndo inakuwa siku nzuri kwa Swansea??? Kwamba swansea wanauzoefu wa kucheza bwawani...!!!!

Kama hujui,hujui tu.. Ila kubahatisha kupo!!

BACK TANGANYIKA
 
1475328672325.jpg
Haha!!Mechi Ilkua simple kabisa kama kubusu kinyago Yaan
 
Halftime tulipotea sana leo ila kipindi cha pili ndio wale watu Coutinho hasa ndio aliamka ila Mane kama kawaida kote anazunguka safi sana. Swansea kipindi cha kwanza walikuwa na haki ya kuongoza ila kipindi cha pili tulikuwa sie tu. LFC 3 Points YNWA!
 
Kama tumeishinda hii game hakuna atakae tusumbua, game ilkua ngumu sana hii kwetu japo Lalana tumemtoa kafara
 
Wakuu nashukuru tumeishinda ila naona kama struridge kama haendani na kasi yetu vile.....au mimi tu macho yangu
tunampelekea sana Mane kuliko Stu kunasehemu nyingi alitakiwa apewe pasi za yeye kuzama nao ndani ila naye awache ubitozi! Sturidge akija kuzipata nafasi tutafurahi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom