Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wakuu nashukuru tumeishinda ila naona kama struridge kama haendani na kasi yetu vile.....au mimi tu macho yangu
Sturridge ndo kawa mzigo aisee. Mipira alikuwa anapoteza na hakabi kabisa. Kaniudhi sana leo
 
Poor kabisa Lovren hata huyu Kipa simuamini najua wengi mmefurahia Mignolet kuwa bench ila mie bora yeye Simon!

Mimi bado sijaanza kum-rate Karius maana the same mistakes anazofanya Migs ndiyo anazifanya Karius ...
 
1475331901272.jpg
1475331916393.jpg
1475331929452.jpg
1475331938297.jpg
1475331956951.jpg
1475331963115.jpg
 
Wakuu nashukuru tumeishinda ila naona kama struridge kama haendani na kasi yetu vile.....au mimi tu macho yangu
Exactly my observation.Unakuta Mane anampa kisha anatangulia nafasi nzuri ya mbele.Sturridge badala yakupress fasta ye anaupooza mpaka beki zinakuwa zimejaa.Tatizo ana washabiki royal sana....hawamwambii ukweli wao wanataka apewe afunge aonyeshe ubora wake!

Aongeze bidii kwakweli ila kwa sasa naona hata kupewa game time anapendelewa tu.The manager is avoiding to be a discussion in brirish media
 
Exactly my observation.Unakuta Mane anampa kisha anatangulia nafasi nzuri ya mbele.Sturridge badala yakupress fasta ye anaupooza mpaka beki zinakuwa zimejaa.Tatizo ana washabiki royal sana....hawamwambii ukweli wao wanataka apewe afunge aonyeshe ubora wake!

Aongeze bidii kwakweli ila kwa sasa naona hata kupewa game time anapendelewa tu.The manager is avoiding to be a discussion in brirish media

yani the guy is slower mpaka anaudhi, ni bora klopp ampe nafasi Origi kuliko jamaa. Yani jamaa hawezi kabisa ku-"cope" na wenzake...kuna moja coutinho anamuwekea kwenye 6 ye ndo kwanza anatanua pembeni. hawaoni sijui wenzake kina lalana, firmino, mane wanavyopenyezeana yani unaweza kusema haiwezekani kufunga lakini wanafunga. rejea goli la lalana na mane last week. The guy has to improve otherwise atachoma mahindi mpaka akome.
 
3000.jpg

Mike van der Hoorn of Swansea reacts after missing a last minute chance
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom