Afadhali ya origi nikweli usemayo anacheza na akili za wenyeji tu lakini hana mipango nae kwakweliExactly my observation.Unakuta Mane anampa kisha anatangulia nafasi nzuri ya mbele.Sturridge badala yakupress fasta ye anaupooza mpaka beki zinakuwa zimejaa.Tatizo ana washabiki royal sana....hawamwambii ukweli wao wanataka apewe afunge aonyeshe ubora wake!
Aongeze bidii kwakweli ila kwa sasa naona hata kupewa game time anapendelewa tu.The manager is avoiding to be a discussion in brirish media
klopp anatafuta tu hapo winning mentality, then inakuja 20 games winning streak, karius new surroundings, new league give the guy a time and remember its EPL, YNWA
LOL. Hard fought Win Man.
Massive 3 POINTS. On to the NEXT one.
Mliwezeshwa na mwamuzi. Kale kapenalty kanatia shaka.Tough game but we won. Cant complain.
Kama una shaka na ile penalty basi penalty zifutwe EPLMliwezeshwa na mwamuzi. Kale kapenalty kanatia shaka.
Sare ilikuwa/ ingekuwa fair results.
Rudi na utazame kale kagoli Kao alikofunga fer kanatia shaka nako kwa mtazamo Wako goli halali Ni 1Mliwezeshwa na mwamuzi. Kale kapenalty kanatia shaka.
Sare ilikuwa/ ingekuwa fair results.
McAteer!
Ninaona ambacho umesema.Spurs are pressing high that Guardila has failed to withstand so far.Two nil HT.Kesho, team ambayo inaikaribia LFC kwa ukaribu katika Pressing, Spurs inacheza na City. Itabidi tuone Pep atacope vipi na hii system.
Natamani sana tucheze na Man City week ijayo
Hawapo sawa kabisa
Hamna team hapo