Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Katika njozi nikiwa napata kifungua kinywa naliona katika lango la Swansea wamesimama watu kumi na tisa,na maana yake ni kuwa timu zote 19 za ligi ziko upande wao zikitaka kuona liver anashindwa lakini ghafla nikaona mtu mwenye jezi no 19(mane) akipiga shuti kwenye lango lile na wote 19 wakashindwa kuzuia.ndipo nikajua swansea hana chake leo,poleni wakaanga sumu wote
 
Nahisi Line Up Ya Leo Ndiyo Hile hile Ya Last game zidi ya Hull City, Atakaebadilika Ni Kupungua Kws Klavan na Kuanza Kwa Lovren tu.
DS atatokea Bench pamoja na Can na Grujic.
 
Huenda ikawa Hivi:-
↓↓↓↓
Karius
Clyne
Lovren
Milner
Matip
Wijna
Hende
Lallana
Coutinho
Firmino
Mane.
 
Leo bila bao+nitakuwa disappointed
Hawa Swansea walitunga 3-1 game ya mwisho kwa defense ya Skrtel
Leo watakiona cha mtema kuni kwa heavy metal
Nahisi DS ataanzia bench na Lovren atarudi

Lovren atarudi ... ila DS naona ana asilimia nyingi kuanza
 
Swansea kuna mtu anaitwa FER atatusumbua sana leo
 
1475319814571.jpg
 
kumuweka STURIDGE benchi kwenye hii gemu na kucheza bila natural striker sidhani kama ni wazo zuri! i hope Klop will prove me wrong.
 
Poor kabisa Lovren hata huyu Kipa simuamini najua wengi mmefurahia Mignolet kuwa bench ila mie bora yeye Simon! dalili leo zinaonekana mapema mbaya!
 
I Love michael Oliver ni good ref ila ile Penalt! soft ila penalt.
 
Leo game mbovu kabisa wanaocheza ni Matip, Clyne na Mane na wanacheza sababu ya presha ya Swansea leo waliobaki kimyaaa hasa Firminho, Coutinho na Wijnaldum sioni ushindi kama tukiendelea kutimjaribu kipa au kupita katikati yao kutafuta freekick nakuwapa presha za kurudi nyuma.
 
tumerudi ila uwanja umejaa maji leo kweli si siku nzuri kwetu tusizarau.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom