Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa nini Benteke yupo kwenye liverpool score sheet na magoli yake mawili aliyoifungia crystal palace msimu huu wakuu?nimeikuta BBC.

Liverpool Top Scorers

Rank Player LG LC Total

1 Philippe Coutinho 3 1 4
2 Roberto Firmino 2 1 3
2 Adam Lallana 3 0 3
2 Sadio Mané 3 0 3
2 James Milner 3 0 3
3 Christian Benteke 2 0 2
3 Divock Origi 0 2 2
3 Daniel Sturridge 0 2 2
4 Jordan Henderson 1 0 1
4 Ragnar Klavan 0 1 1
4 Dejan Lovren 1 0 1
 
Kwa nini Benteke yupo kwenye liverpool score sheet na magoli yake mawili aliyoifungia crystal palace msimu huu wakuu?nimeikuta BBC.

Liverpool Top Scorers

Rank Player LG LC Total

1 Philippe Coutinho 3 1 4
2 Roberto Firmino 2 1 3
2 Adam Lallana 3 0 3
2 Sadio Mané 3 0 3
2 James Milner 3 0 3
3 Christian Benteke 2 0 2
3 Divock Origi 0 2 2
3 Daniel Sturridge 0 2 2
4 Jordan Henderson 1 0 1
4 Ragnar Klavan 0 1 1
4 Dejan Lovren 1 0 1
Siyo kwamba aliyafunga akiwa bado Liverpool? Watakuwa wamebugi kweli kama wameoverlook hiyo kitu hao BBC!
 
Hakufunga kabisa mkuu msimu huu
Agreed!
Nimefuatilia ni kweli hakufunga msimu huu...BBC wamechemka hapo. Lakini idadi ya goli ndiyo hiyo 25 kwa timu nzima, I hope kuna mtu wamechanganya hapo wakamuweka Benteke badala ya muhusika halisi.
 
Agreed!
Nimefuatilia ni kweli hakufunga msimu huu...BBC wamechemka hapo. Lakini idadi ya goli ndiyo hiyo 25 kwa timu nzima, I hope kuna mtu wamechanganya hapo wakamuweka Benteke badala ya muhusika halisi.
Mkuu ni magoli 24 mpaka sasa mkuu 16 ligi kuu na 8 league cup.Hawajamreplace na mwingine kwa sababu ukiweka na ya Benteke inakuwa 26 kitu ambacho sio kweli.

Nadhani kuna sababu kumuweka hapo?Nachelea kusema wamekosea hawa BBC
 
Henderson wa 2013/2014 nimeanza kumuona tena",....
Kweli kocha ni zaidi ya kocha
Hendo alivyo drop kiwango, kama Shabiki angekua kocha kwa sasa Hendo angekua Bournemouth na wilshere...
Last game aliongoza kutwanga pasi zilizokamilika kwa mechi za j'moc.
Henderson 107
Pogba 84
Herrera 74
Carzola 73...

Naona wale kop waliokua wanasikitishwa na kuondoka kwa Sahko mda huu Wenge & pressure vimeshuka kwa form ya Lovren,Klavan,Matip.. hihihi ila napenda kumuona akibaki scouse soldier kwa kile kilichotokea Anfield against Dortmund",..

YNWA*
Moreno achezeshwe Mbele",.. maana Hamna namna Milner mpaka sasa anahesabika moja ya beki tatu bora ya EPL",...

Nalisubiri jiji la Manchester kwa kachumbari na ndimu",..
 
Kwa nini Benteke yupo kwenye liverpool score sheet na magoli yake mawili aliyoifungia crystal palace msimu huu wakuu?nimeikuta BBC.

Liverpool Top Scorers

Rank Player LG LC Total

1 Philippe Coutinho 3 1 4
2 Roberto Firmino 2 1 3
2 Adam Lallana 3 0 3
2 Sadio Mané 3 0 3
2 James Milner 3 0 3
3 Christian Benteke 2 0 2
3 Divock Origi 0 2 2
3 Daniel Sturridge 0 2 2
4 Jordan Henderson 1 0 1
4 Ragnar Klavan 0 1 1
4 Dejan Lovren 1 0 1
Watakuwa wamekosea
 
Naona wale kop waliokua wanasikitishwa na kuondoka kwa Sahko mda huu Wenge & pressure vimeshuka kwa form ya Lovren,Klavan,Matip.. hihihi ila napenda kumuona akibaki scouse soldier kwa kile kilichotokea Anfield against Dortmund",..

YNWA*

Sakho kucheza kwake mpaka itokee serious injuries kifupi career yake lfc imeisha
 
1475075041902.jpg
1475075046522.jpg
1475075050277.jpg
 
Sakho anasikitisha kwakweli.Yale maandishi ndo yamemuharibia kabisa.One thing sure is that he loves Liverpool
Sakho anashindwa Subra tatizo muda mwengine kama Good player wewe vumilia subiri ila Subira hana, Sakho hata alivyoondoka PSG pia ni timu anaipenda ila aliondoka kwa ugomvi wa style ya hivihivi tunampenda ila ni muda wa kuipenda timu zaidi na kusikiliza ya Manager! Sakho avumilie muda wake ukija atumie.
 
Angeomba msamaha tu
Kushindana na JK pale Andield ni sawa na mchezaji wa Atletico kushindana na Diego Simeone

Sakho anashindwa Subra tatizo muda mwengine kama Good player wewe vumilia subiri ila Subira hana, Sakho hata alivyoondoka PSG pia ni timu anaipenda ila aliondoka kwa ugomvi wa style ya hivihivi tunampenda ila ni muda wa kuipenda timu zaidi na kusikiliza ya Manager! Sakho avumilie muda wake ukija atumie.

Cha msingi ndiyo hicho, aombe msamaha tu!
Jana alikuwa na U23 pia alitembelea academy for sure subira inam-cost sana. Klopp wakati anazungumzia ulalamishi wa Sakho alimsifu Moreno kwa jinsi alivyochukulia positive namba yake kupokwa na Milner
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom