Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

1474813542042.jpg
 
Bravo ni kipa mwenye mapepe sana kama ataendelea hivi na akapangwa against us I bet 4+ goals tutashinda bila tatizo kabisa

Bravo ni good ball playing GK, anafaa kwenye system ya Pep..he's not a Top shot-stopper kama De Gea or Lloris but ni very good distributer..did well at Barcelona. Naona tu pressure ya League inamsumbua..but atatulia tu.

Neuer ndiyo ana kila kitu, Complete GK..good shit stopper na Good ball playing GK..Karius ana hizo attributes pia..but ni mapema mno kumweka katika kundi la TOP EPL GKs now..ndo kwanza anaanza kazi yake. But naamini he'll be there very soon.
 
Bravo ni good ball playing GK, anafaa kwenye system ya Pep..he's not a Top shot-stopper kama De Gea or Lloris but ni very good distributer..did well at Barcelona. Naona tu pressure ya League inamsumbua..but atatulia tu.

Yaah akiacha tu hizo pressure ... ila I wish awe nazo hadi kwenye game yetu

Neuer ndiyo ana kila kitu, Complete GK..good shit stopper na Good ball playing GK..

Huyu ni another level

Karius ana hizo attributes pia..but ni mapema mno kumweka katika kundi la TOP EPL GKs now..ndo kwanza anaanza kazi yake. But naamini he'll be there very soon.

Nahitaji apewe 4-5 games ikiwemo ya man u ili nimfaidi vizuri
 
Umemuweka WOODBURN?

Yeah, siwez kumsahau Woodburn..nilimweka Aisee.

Yasije yakawa kama ya Harry Wilson though..dogo kaporomoka kabla hata ya kuingia first team ya LFC..problem ya Wales, dogo yoyote akichomoza tu wanaanza kumjumuisha kwenye kikosi chao cha National team..they did that kwa Harry Wilson at some point, moja kati ya vitu vilivyoharibu maendeleo yake, na lile jina la "New Bale"...si muda wataanza kwa Woodburn.
 
Yaah akiacha tu hizo pressure ... ila I wish awe nazo hadi kwenye game yetu



Huyu ni another level



Nahitaji apewe 4-5 games ikiwemo ya man u ili nimfaidi vizuri


Karius ndiyo our First choice GK, Migs ni 2nd choice. So mpaka Karius aumie au awe na form mbovu, ndiyo Migs atarudi golini..but italeta competition Kiasi na ndo kitu anachotaka Klopp.

Migs is on 95k per week, only cech, De Gea and Bravo are above him kwenye mshahara. And he's 2nd choice GK.
 
Yeah, siwez kumsahau Woodburn..nilimweka Aisee.

Yasije yakawa kama ya Harry Wilson though..dogo kaporomoka kabla hata ya kuingia first team ya LFC..problem ya Wales, dogo yoyote akichomoza tu wanaanza kumjumuisha kwenye kikosi chao cha National team..they did that kwa Harry Wilson at some point, moja kati ya vitu vilivyoharibu maendeleo yake, na lile jina la "New Bale"...si muda wataanza kwa Woodburn.
namuangali mechi za u23 huyu moodburn anatupia balaa yani yuko pouwa sana. hata preseason nadhani alikuwa na golas kama 3 hv
 
Karius ndiyo our First choice GK, Migs ni 2nd choice. So mpaka Karius aumie au awe na form mbovu, ndiyo Migs atarudi golini..but italeta competition Kiasi na ndo kitu anachotaka Klopp.

Migs is on 95k per week, only cech, De Gea and Bravo are above him kwenye mshahara. And he's 2nd choice GK.
Karius analipwa ngapi?
 
Gotta feel for Payet. Such a baller..but hakuwa na bahati, watu wameanza kuona kipaji chake tayari umri ukiwa ushaenda..kaja EPL akiwa na miaka 29..kama akimove january or summer nadhan itakuwa ni China kuvuna Pesa au back to France, PSG maybe?

Comolli wanted him back in 2010/11..Dalglish opted for Downing.
 
Karius analipwa ngapi?

Lol, you'll be dissapointed..

Hajafika bado hata kwenye 30k..but atapata tu mshahara mzuri, anahitaji kujiimarisha zaidi..

Nadhani kwa summer signings zetu, ni Matip, Mane na Gini ndo wanapata mshahara mzuri..
 
Lol, you'll be dissapointed..

Hajafika bado hata kwenye 30k..but atapata tu mshahara mzuri, anahitaji kujiimarisha zaidi..

Nadhani kwa summer signings zetu, ni Matip, Mane na Gini ndo wanapata mshahara mzuri..
Duh!
Basi waliomshawishi wana utaalamu sana, anyway ajitahidi akomae na kujiestablish fedha itakuja tu!
 
Duh!
Basi waliomshawishi wana utaalamu sana, anyway ajitahidi akomae na kujiestablish fedha itakuja tu!

Bado mdogo sana, na alikuwa Mainz, Klopp is respected and loved there, so ilikuwa ni easy.

And kwa Keeper mdogo kiumri kama Karius, haihitaji kuanza na mshahara mkubwa sana..ni kama kina Grujic tu.
 
Yeah, siwez kumsahau Woodburn..nilimweka Aisee.

Yasije yakawa kama ya Harry Wilson though..dogo kaporomoka kabla hata ya kuingia first team ya LFC..problem ya Wales, dogo yoyote akichomoza tu wanaanza kumjumuisha kwenye kikosi chao cha National team..they did that kwa Harry Wilson at some point, moja kati ya vitu vilivyoharibu maendeleo yake, na lile jina la "New Bale"...si muda wataanza kwa Woodburn.

Wilson nadhani tu ana bahati mbaya kwenye soka sikutarajia kama graph yake ingeshuka kabisa
 
Gotta feel for Payet. Such a baller..but hakuwa na bahati, watu wameanza kuona kipaji chake tayari umri ukiwa ushaenda..kaja EPL akiwa na miaka 29..kama akimove january or summer nadhan itakuwa ni China kuvuna Pesa au back to France, PSG maybe?

Comolli wanted him back in 2010/11..Dalglish opted for Downing.

Hahaaa downing lol ....

Kinachowapata kina payet msimu huu hadi huruma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom