Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Smile
Kwakweli aisee, daah, Liver ya 2004 , 2005 na 2006Huu mwaka angala tutapumzika na stress
Kabisa!Mane is the Best EPL signing so far this season. Not even a doubt.
Kwakweli yupo vizuri, kwenye ile gemu ya kombe la ligi kuna attributes niliziona...ni typical Neuer!Our Neuer. Hahahahaha!
Kwakweli yupo vizuri, kwenye ile gemu ya kombe la ligi kuna attributes niliziona...ni typical Neuer!
Well said na hicho ndo kinatakiwa kiwepo sio kumtegemea mtu mmoja akiumia au akishuka tunakosa muelekeo. Cheki sasa hiv kila mtu anafunga mpk raha.....lalana 3, mane 3, coutinoh 3, milner 3, firmino 2.....so we can gave goals from anyone!!!!Hata mm Swansea nawaogopa walimpigia City mpira mzur sana ...hopefully tutashinda au at least draw, Ila saivi Klopp namuaminia yaan now a days we are playing kiteam zaidi... ule ukiritimba wa Sturridge kujifanya star wa team umekwisha
Bravo ni kipa mwenye mapepe sana kama ataendelea hivi na akapangwa against us I bet 4+ goals tutashinda bila tatizo kabisaBonge la passer..unlike Migs ambaye anapenda kupiga mpira mbele..Karius anaanzia nyuma kama Neuer au Bravo..
Mkuu hapo kwenye kids tafadhali niongezee huyu dogo Ovie Ejaria ... usimuweke kwenye kundi la etcGood news ni kwamba we'll try to get Dahoud in January.
He's 20, Grujic is 19, Can is 22, Gini is 25, Stewart is 23, Then you've got Branno and Pedro stepping up..we're building kitu special sana.
Then una kids kama Woodburn, Dhanda, Gomes, Ojo, Adekenye etc..add Pulisic there, and we're flying.
