Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hawawezi wale..na Juve hawawezi toa £35m+ for him, they're packed kwenye midfield.

Ninachohisi ni kwamba kama ikifika January, na bado hawajasettle ishu yao ya mkataba..higher bidder yoyote anaweza akamchukua..nadhan kama City wakiwa interested anaweza akawa tempted. But Klopp anaweza akamu-assure muda wa kucheza, kitu ambacho kitakuwa kigumu kukipaata City, considering form ya Fernandinho kwa sasa..tuna nafasi kubwa sana ya kumsign..nadhan BMG hawakupendezwa na Tap-in aliyofanya Klopp..but tutampata tu. He shares the same agent with Emre and Yesil.
Shukrani!!!kwa ufundi wa dogo akijitokeza mwenye dau kubwa Klopp apambane kama kwa Aubameyang,atatusaidia sana ninavyoona.
 
Hahaaaaa...... Asante mtani, naona umeongea kwa unyonge sana. Pole kwa vile vipigo..... nyie mtatupiga kwenye utajiri tu lakini kwenye pitch habari yetu ya mtu 1Ku-cover 13km mtaijua vizuri October hapo. Hata SAF amenza kupata kigugumizi...
Mtani yaani umeanza matambo kama my kaka Malafyale jamaniii kweli kushinda kutam!!!!!!
 
1474120535943.png
 
Guardiola: In the Premier League, any team can beat you
1182 1:02
Manchester City manager Pep Guardiola says that any team can beat any other in the Premier League, ahead of the clash against Bournemouth.
 
Sio Gelard
Ni Gerrard
Kajifunze uandishi kwanza kabla hujaleta pumba hapa
Keep in mind that LFC ina wenyewe
LFC is more than a football club...,,,it's a tradition, son.

Mkuu Huyu Jamaa Mimi Nimemuachia! Na wewe Mwache Usipoteze Muda! Yaani Najiuliza Sijui Katokea Wapi Kutaka Aonekane Kama Analifahamu Hili Jukwaa Kwa Muda Mrefu Wakati Ni Mvamizi Wa Kuibuka Jana tu!!!
 
Dropped 2 easy points
Lkn nduyo soka mkuu,tusahau tusonge mbele!Hull City bila bao 3 nitamshangaa JK
Ni kweli, hivi vitimu vya dizaini ya kina Hull City ni kupita tatu na kuendelea ili kutengeneza goal difference nzuri!
 
Ni kweli, hivi vitimu vya dizaini ya kina Hull City ni kupita tatu na kuendelea ili kutengeneza goal difference nzuri!
Lkn msimu uliopita JK alisumbuka sana na vitimu vidogo!Hata game na Burnley ilimshinda na huo ndiyo wasi wasi wangu
 
LIVE FOOLS.....Wanachojua ni kukamia timu kubwa tu
Hebu na wewe kamia timu kubwa tuone. Nani kakukataza?

Labda nikubaliane na wewe kwamba Liverpool tunakamia unazoziita timu kubwa, Fine hiyo ndio technique yetu ya mchezo, Chelsea na Man U technique yao ni kupaki basi, je kuna mtu ameshawahi kuwalalamikia?

Jaribuni na nyie kumkamia Barcelona kama mtamfunga, au hamtaki kumfunga ndio maana huwa hamumkamii?
 
Good game na point 3 muhimu

Post match analysis Carra amempongeza Hendo na kusema yeye ndo ilikuwa sababu ya sisi kukuosa ubingwa baada ya ile redcard. Matip kafanya kazi kubwa kumweka Costa quiet most of the game na bila kumchezea rafu compared na Skrtel
Tuna squad kubwa na viungo wengi, tuna wachezaji wengi bado hawajatumika mpaka sasa Gomez,Ings,Grujic,Can, Sakho kama atapata nafasi,
 
Hebu na wewe kamia timu kubwa tuone. Nani kakukataza?

Labda nikubaliane na wewe kwamba Liverpool tunakamia unazoziita timu kubwa, Fine hiyo ndio technique yetu ya mchezo, Chelsea na Man U technique yao ni kupaki basi, je kuna mtu ameshawahi kuwalalamikia?

Jaribuni na nyie kumkamia Barcelona kama mtamfunga, au hamtaki kumfunga ndio maana huwa hamumkamii?
sasa hivi mnasubiri kuwafunga man city na man united......ndio mechi pekee mnazoshinda nyingine mnaangukia pua.....LIVER FOOLS..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom