Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

sasa hivi mnasubiri kuwafunga man city na man united......ndio mechi pekee mnazoshinda nyingine mnaangukia pua.....LIVER FOOLS..

Karibu sana
Tuachie The Kop yetu
Whether tuangukie pua au tumbo tuachie chama letu
Ni kutokana na mapenzi ulionayo kwa LFC ndio maana umeingia hapa
Unakaribishwa Anfield
 
Hao Manyumbu United Kwanza Wangechomoa Lile Moja La Watford Lilichomekwa na Capoue Ndiyo Waje Watoe Povu lao Hapa
 
unafananisha Man U na LIVER FOOLS..?

MOST SUCCESSFUL ENGLISH CLUBS (MAJOR HONOURS/TITLES)


Sasa hapo kuna-tofauti gani kati LFC na UTD? then mpo ahead ki-order kwasababu mmeshinda FA hivi karibuni (2016)..

Utofauti wa LFC na UTD upo kwenye UCL. And it seems it will take you YEARS kuipiku record ya LFC kama ilivyowachukua YEARS kuipiku record ya LFC, kwennye English Premier League.
 

Attachments

  • imakk.jpg
    imakk.jpg
    21.2 KB · Views: 50
[HASHTAG]#Fact[/HASHTAG]:
LFC have had 10 points or more twice in the last eight seasons after 5 games, both times finishing second at the end of the season.
 
Kesho tuna game na Derby County kwenye League Cup inabidi kukaza kweli maana hivi vitimu vidogo huwa havisomeki lolote linaweza tokea ingawa naamini tutachomoka na ushindi mnono sababu kikosi kipo vizur, Derby County wenyewe naona wameshinda game 1, draw 3 na loss 4 toka msimu huu wa Championship uanze naamini tutapata matokeo mazuri tuuh.

YNWA
 
sasa hivi mnasubiri kuwafunga man city na man united......ndio mechi pekee mnazoshinda nyingine mnaangukia pua.....LIVER FOOLS..
nyie timu ndogo na kubwa zimewashinda mbona mmeshindwa kukamia na nyie kamieni basi Majungu tu kama demu wa UswaZi.
 
Leo Karius ana asilimia nyingi za kuanza ... Can naye anategemewa kucheza .... huku Moreno akirudi katika nafasi yake...... Origi naye ataanza

Another 4+ goals
 
Kikosi kinachoanza leo
Karius
Clyne moreno

Matip Klavan

Lukas
Hendo Grujic

Firmino Coutinho
Origi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom