SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Tunachohitaji sasa ni consistency
I hope mechi ijayo nayo ni ushindi tu
The confidence is high at the moment and the momentum is on our side
Kuzibandua timu za London tena kwao is a step in the right direction
To be fair, tuna fixture nyepesi sana on paper.
But small teams zinatusumbua sana Aisee, hope Klopp amerekebisha hilo suala..kama tukipoteza dhidi ya Hull and/or Swansea sidhan kama kutakuwa na umuhimu tena wa kuwin big games.
SEVILA GALASA ALIWABARCA 3Yah! Ni Ligi Ya Kuviziana Kweli Manake Kocha Yoyote Aliyezoea Ligi Ya Spain Timu ni 2 tu waliobakia ni Magarasa! Mfungaji Bora Anafunga Goli 40 utafikiri Mpira Wa Kikapu! Basi Ligi itamshinda!!
Hii Ni Ligi Ya Wanaume Haina Kibonde Cha Kuzarau
sasa ww ulitegemea mtu kama MESSI au RONALDO afunge goli 8 msimu mzima kama Benteke

Hivi kati yangu nawe nani limbukeni yani toka uanze fatilia mpira hujawai iona LIVER ikichukua japo EPL mara moja leo unaifananisha liver na Madrid wakat uefa hata nusu ya makombe yake huna AKILI ZAKO ZIMEGANDA KWA UKIWA WA MAKOMBEWewe Kweli Limbukeni!!!! Hivi Kwatika Sayari Hii Ni Level Gani Ya Soka na Makombe Liverpool Aliyokuwa Hajaifikia??? Hivi Wewe Mpira Umependa Lini?? Manake Huyo Mbabe Wa Dunia Real Madrid Kwa Liver Ni Uji na Mgonjwa Mana Walifungwa Mpaka Dosena Mcheza Charanga, na Na Yule Myahudi Benayoun! Bila Ya Kusahau Kuwa Tuliwadonoa Finali Kagoli Kamoja Tukanyanyua Champion League! Kwahiyo Anaesubiri Aifikie Level Yenu Labda Arsenal, Chelsea na Man City Coz Ndiyo Timu Zisokuwa Na Historia Ya Kutambulika
Bora uangalie elclassico maana Sevila walikujambishaGoli 40?
Hiyo ligi naangaliaga el Classico tu
Sipotezi muda wangu kuangalia upuuzi wa akina Osassuna sijui akina Bilbao
Uko sahihi mkuu
Huyo jamaa kafuata nini Hapa the Kop? Angeenda kujadili ligi yake Ya mpira wa vikapu aka La Liga
SEVILA GALASA ALIWABARCA 3![]()
![]()
sasa ww ulitegemea mtu kama MESSI au RONALDO afunge goli 8 msimu mzima kama Benteke
![]()
![]()
![]()
That's why I call it Jeckyl and Hyde!!!
Tunazifunga timu Kubwa then the likes of Burnley beat us!
Hadi leo ile issue Ya baloon ball inaniuma sana
Tulikuwa tuwe mambingwa msimu ule
Nasikia Rafa Benitez aliumwa mwezi mzima
Namkubali sana Rafa Basi tu
The guy loves Liverpool with all his heart and soul and he still believe to be given another chance at Anfield.
Barcelona ishachinja 3:0 magoli yamefungwa na MSNWhen was the last time Sevilla won La Liga?
Kukaa kwako hapa jukwaani ni ishara tosha ligi yako Ya Spain is boring la sivyo usingekuwa kwenye majukwaa Ya EPL
Kaiangalie Barca yako na sijui kibonde gani leo
Tuachie the Kopp
The Kop ina wenyewe
Ynwa
kila siku tutatwaa msimu ujao Ashukuriwe S.Gelard kwa kumpasia Demba ba

Mkuu thanks for the update!FA is full of Scums supporters, they hate us..kina Clarke, Gill, Glenn, Nixon etc, bunch of hypocrites. Tulikuwa inches away kushinda league title na RB..but shit happens. We move on.
Yeah, RB loves football and he loves LFC, family yake yote ipo Liverpool, hajawahi kuihamisha hata siku moja. FSG wanted him back mara kibao, but "wazee wa LFC" walikuwa hawamtaki, na waliogopa kuidivide fanbase..manake mpaka sasa kuna pande mbili, kuna wale waliobaki loyal kwa RB, na kuna wale ambao PR za Hicks na mwanzake ziliwaingia kisawasawa na kumuona RB hafai, sad part ni kwamba Carragher na SG wana mkono wao kufukuzwa kwa Benitez. But uzuri ni kwamba Benitez hajawahi kumchukia SG, na nadhan SG played his best football akiwa chini ya RB. SG alikuwa manipulated na Carragher mpaka akaingia kwenye huo mkumbo.
But its all good now..kila mtu alimove on. Benitez is doing well and fine na Newcastle kwenye Championship..huwa haogopi challenges. Ndo maana alikubali kazi ngumu ya kuicoach Newcastle.
He told LFC to sign Coutinho (hii ni baada ya kuondoka Inter), wakat yupo Chelsea kipindi kile alituuzia Sturridge and Now katupa Wijnaldum.
Barcelona ishachinja 3:0 magoli yamefungwa na MSN
MIAKA 27 hujawai twaa EPL![]()
![]()
kila siku tutatwaa msimu ujao Ashukuriwe S.Gelard kwa kumpasia Demba ba
![]()
![]()
![]()
![]()



Sio Gelard
Ni Gerrard
Kajifunze uandishi kwanza kabla hujaleta pumba hapa
bora nimekupa mada ya kukimbia istoshe siwez rekebisha ikiwa mtukufu kinampiga chenga sembuse mimi

Ila kumtoa Stirridge jana haikuwa sahihi
Ilikuwa pre-caution ile nadhan.
i wishMkuu thanks for the update!
Hopefully someday Rafa will rejoin LFC in the future
Huyu dogo namkubali sana nimemfuatilia kidogo aisee tukimpata tumelamba dume na anaonesha kuikubali liver,hivi ishu yake ya kukataa kusaini mkataba mpya na club yake hawawezi kumkomoa wakamuuza juve dirisha dogo ambao nao wameonyesha kumuhitaji?BMG midfield got totally outplayed na Man city ile J5, but Dahoud managed to showcase his quality, he's only 20..you can see why Klopp wants him. Proper baller.
Mkuu thanks for the update!
Hopefully someday Rafa will rejoin LFC in the future
Huyu dogo namkubali sana nimemfuatilia kidogo aisee tukimpata tumelamba dume na anaonesha kuikubali liver,hivi ishu yake ya kukataa kusaini mkataba mpya na club yake hawawezi kumkomoa wakamuuza juve dirisha dogo ambao nao wameonyesha kumuhitaji?