Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tunachohitaji sasa ni consistency
I hope mechi ijayo nayo ni ushindi tu
The confidence is high at the moment and the momentum is on our side
Kuzibandua timu za London tena kwao is a step in the right direction

To be fair, tuna fixture nyepesi sana on paper.

But small teams zinatusumbua sana Aisee, hope Klopp amerekebisha hilo suala..kama tukipoteza dhidi ya Hull and/or Swansea sidhan kama kutakuwa na umuhimu tena wa kuwin big games.
 
To be fair, tuna fixture nyepesi sana on paper.

But small teams zinatusumbua sana Aisee, hope Klopp amerekebisha hilo suala..kama tukipoteza dhidi ya Hull and/or Swansea sidhan kama kutakuwa na umuhimu tena wa kuwin big games.

That's why I call it Jeckyl and Hyde!!!
Tunazifunga timu Kubwa then the likes of Burnley beat us!
Hadi leo ile issue Ya baloon ball inaniuma sana
Tulikuwa tuwe mambingwa msimu ule
Nasikia Rafa Benitez aliumwa mwezi mzima
Namkubali sana Rafa Basi tu
The guy loves Liverpool with all his heart and soul and he still believe to be given another chance at Anfield.
The Rafa revolution at Anfield brought in the likes of Mascherano, Arbeloa, Torres, Xabi Alonso, Pepe Reyna, Yossi, Morientes, Kuyt, etc
 
Yah! Ni Ligi Ya Kuviziana Kweli Manake Kocha Yoyote Aliyezoea Ligi Ya Spain Timu ni 2 tu waliobakia ni Magarasa! Mfungaji Bora Anafunga Goli 40 utafikiri Mpira Wa Kikapu! Basi Ligi itamshinda!!
Hii Ni Ligi Ya Wanaume Haina Kibonde Cha Kuzarau
SEVILA GALASA ALIWABARCA 3 sasa ww ulitegemea mtu kama MESSI au RONALDO afunge goli 8 msimu mzima kama Benteke
 
Wewe Kweli Limbukeni!!!! Hivi Kwatika Sayari Hii Ni Level Gani Ya Soka na Makombe Liverpool Aliyokuwa Hajaifikia??? Hivi Wewe Mpira Umependa Lini?? Manake Huyo Mbabe Wa Dunia Real Madrid Kwa Liver Ni Uji na Mgonjwa Mana Walifungwa Mpaka Dosena Mcheza Charanga, na Na Yule Myahudi Benayoun! Bila Ya Kusahau Kuwa Tuliwadonoa Finali Kagoli Kamoja Tukanyanyua Champion League! Kwahiyo Anaesubiri Aifikie Level Yenu Labda Arsenal, Chelsea na Man City Coz Ndiyo Timu Zisokuwa Na Historia Ya Kutambulika
Hivi kati yangu nawe nani limbukeni yani toka uanze fatilia mpira hujawai iona LIVER ikichukua japo EPL mara moja leo unaifananisha liver na Madrid wakat uefa hata nusu ya makombe yake huna AKILI ZAKO ZIMEGANDA KWA UKIWA WA MAKOMBE
 
Goli 40?
Hiyo ligi naangaliaga el Classico tu
Sipotezi muda wangu kuangalia upuuzi wa akina Osassuna sijui akina Bilbao
Uko sahihi mkuu
Huyo jamaa kafuata nini Hapa the Kop? Angeenda kujadili ligi yake Ya mpira wa vikapu aka La Liga
Bora uangalie elclassico maana Sevila walikujambisha
 
SEVILA GALASA ALIWABARCA 3 sasa ww ulitegemea mtu kama MESSI au RONALDO afunge goli 8 msimu mzima kama Benteke

When was the last time Sevilla won La Liga?
Kukaa kwako hapa jukwaani ni ishara tosha ligi yako Ya Spain is boring la sivyo usingekuwa kwenye majukwaa Ya EPL
Kaiangalie Barca yako na sijui kibonde gani leo
Tuachie the Kop
The Kop ina wenyewe
By the way, Europa ni kombe la mbuzi tu
We are 5 times UCL champs
Ynwa
 
That's why I call it Jeckyl and Hyde!!!
Tunazifunga timu Kubwa then the likes of Burnley beat us!
Hadi leo ile issue Ya baloon ball inaniuma sana
Tulikuwa tuwe mambingwa msimu ule
Nasikia Rafa Benitez aliumwa mwezi mzima
Namkubali sana Rafa Basi tu
The guy loves Liverpool with all his heart and soul and he still believe to be given another chance at Anfield.


FA is full of Scums supporters, they hate us..kina Clarke, Gill, Glenn, Nixon etc, bunch of hypocrites. Tulikuwa inches away kushinda league title na RB..but shit happens. We move on.

Yeah, RB loves football and he loves LFC, family yake yote ipo Liverpool, hajawahi kuihamisha hata siku moja. FSG wanted him back mara kibao, but "wazee wa LFC" walikuwa hawamtaki, na waliogopa kuidivide fanbase..manake mpaka sasa kuna pande mbili, kuna wale waliobaki loyal kwa RB, na kuna wale ambao PR za Hicks na mwanzake ziliwaingia kisawasawa na kumuona RB hafai, sad part ni kwamba Carragher na SG wana mkono wao kufukuzwa kwa Benitez. But uzuri ni kwamba Benitez hajawahi kumchukia SG, na nadhan SG played his best football akiwa chini ya RB. SG alikuwa manipulated na Carragher mpaka akaingia kwenye huo mkumbo.


But its all good now..kila mtu alimove on. Benitez is doing well and fine na Newcastle kwenye Championship..huwa haogopi challenges. Ndo maana alikubali kazi ngumu ya kuicoach Newcastle.


He told LFC to sign Coutinho (hii ni baada ya kuondoka Inter), wakat yupo Chelsea kipindi kile alituuzia Sturridge and Now katupa Wijnaldum.
 
When was the last time Sevilla won La Liga?
Kukaa kwako hapa jukwaani ni ishara tosha ligi yako Ya Spain is boring la sivyo usingekuwa kwenye majukwaa Ya EPL
Kaiangalie Barca yako na sijui kibonde gani leo
Tuachie the Kopp
The Kop ina wenyewe
Ynwa
Barcelona ishachinja 3:0 magoli yamefungwa na MSN

MIAKA 27 hujawai twaa EPL kila siku tutatwaa msimu ujao Ashukuriwe S.Gelard kwa kumpasia Demba ba
 
Tuweni wavumilivu na maombi sana maana timu yetu uwa na homa za vipindi... Chamsingi tusiwe na mstarajio makubwa sana.
 
FA is full of Scums supporters, they hate us..kina Clarke, Gill, Glenn, Nixon etc, bunch of hypocrites. Tulikuwa inches away kushinda league title na RB..but shit happens. We move on.

Yeah, RB loves football and he loves LFC, family yake yote ipo Liverpool, hajawahi kuihamisha hata siku moja. FSG wanted him back mara kibao, but "wazee wa LFC" walikuwa hawamtaki, na waliogopa kuidivide fanbase..manake mpaka sasa kuna pande mbili, kuna wale waliobaki loyal kwa RB, na kuna wale ambao PR za Hicks na mwanzake ziliwaingia kisawasawa na kumuona RB hafai, sad part ni kwamba Carragher na SG wana mkono wao kufukuzwa kwa Benitez. But uzuri ni kwamba Benitez hajawahi kumchukia SG, na nadhan SG played his best football akiwa chini ya RB. SG alikuwa manipulated na Carragher mpaka akaingia kwenye huo mkumbo.


But its all good now..kila mtu alimove on. Benitez is doing well and fine na Newcastle kwenye Championship..huwa haogopi challenges. Ndo maana alikubali kazi ngumu ya kuicoach Newcastle.


He told LFC to sign Coutinho (hii ni baada ya kuondoka Inter), wakat yupo Chelsea kipindi kile alituuzia Sturridge and Now katupa Wijnaldum.
Mkuu thanks for the update!
Hopefully someday Rafa will rejoin LFC in the future
 
Barcelona ishachinja 3:0 magoli yamefungwa na MSN

MIAKA 27 hujawai twaa EPL kila siku tutatwaa msimu ujao Ashukuriwe S.Gelard kwa kumpasia Demba ba

Sio Gelard
Ni Gerrard
Kajifunze uandishi kwanza kabla hujaleta pumba hapa
Keep in mind that LFC ina wenyewe
LFC is more than a football club...,,,it's a tradition, son.
 
BMG midfield got totally outplayed na Man city ile J5, but Dahoud managed to showcase his quality, he's only 20..you can see why Klopp wants him. Proper baller.
Huyu dogo namkubali sana nimemfuatilia kidogo aisee tukimpata tumelamba dume na anaonesha kuikubali liver,hivi ishu yake ya kukataa kusaini mkataba mpya na club yake hawawezi kumkomoa wakamuuza juve dirisha dogo ambao nao wameonyesha kumuhitaji?
 
Huyu dogo namkubali sana nimemfuatilia kidogo aisee tukimpata tumelamba dume na anaonesha kuikubali liver,hivi ishu yake ya kukataa kusaini mkataba mpya na club yake hawawezi kumkomoa wakamuuza juve dirisha dogo ambao nao wameonyesha kumuhitaji?

Hawawezi wale..na Juve hawawezi toa £35m+ for him, they're packed kwenye midfield.

Ninachohisi ni kwamba kama ikifika January, na bado hawajasettle ishu yao ya mkataba..higher bidder yoyote anaweza akamchukua..nadhan kama City wakiwa interested anaweza akawa tempted. But Klopp anaweza akamu-assure muda wa kucheza, kitu ambacho kitakuwa kigumu kukipaata City, considering form ya Fernandinho kwa sasa..tuna nafasi kubwa sana ya kumsign..nadhan BMG hawakupendezwa na Tap-in aliyofanya Klopp..but tutampata tu. He shares the same agent with Emre and Yesil.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom