SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Kipindi cha kwanza vijana walipiga full metal Ya kufa mtu
kidogo nilimuamini ILA matip kaniinspire DanaDaaa!! Nilikuwa simuamini Gigi na niliona zile 25 zilikuwa nyingi but now nakula maneno yangu
KIPOFU KAONA MWEZI
Tottenham wameoshwaArsenal
Leicester city
Chelsea
Tottenham
Wote hapo juu weshaoshwa then unathubutu kuleta kauli yako ya umande?

Tottenham wameoshwa![]()
![]()
subiri zamu yakoKIPOFU KAONA MWEZI
Tottenham wameoshwa![]()
![]()
Ndiyo Unashangaa Nini? Point 1 kwa Away Game Ni Advantage au Hujui Hilo?? Na Point 1 kwa Home Game (Spurs) ni Kuoshwa huko au Hujui Hilo??
Nafikiri Soon After Xmass Wambea Wote Hili Jukwaa Wataliona Kituo Cha Polisi Manake Mutalikimbia Nyote
duuuh ushaanza kuwaza ubingwa yani mara hii umewasahau Burnleysubiri zamu yako
zamu gani mkuu wakat mm nipo level nyingine ambazo kwa ww kuzifikia ni baadae sanaJitahd japo muingie big4 Kwenye hyo ligi yenu ya kuvizianaWateja wetu wa kudunu hao
Wakija machininjioni tunawapa full dozi 4-0
Mkuu hadi Fabregas ni average player?Chelsea players ambao naweza nikawachukua kuja LFC ni GK wao, Azip, Kante na Hazard. Terry is washed waliobaki wote ni average.
Jitahd japo muingie big4 Kwenye hyo ligi yenu ya kuviziana
![]()
![]()
![]()
zamu gani mkuu wakat mm nipo level nyingine ambazo kwa ww kuzifikia ni baadae sana
lol! am still loading.... waiting for it nahisi ntatakasika mno tukiwapigaDerby yetu na The Ev itakuwa ni moto wa kuotea mbali this season. Naona The ev wana team nzuri kiasi..midfield yao ni nzuri pia, Gueye na Barry. Na wana kocha mzuri sana Koeman and he hates Liverpool fc.
Cant wait.
Yah! Ni Ligi Ya Kuviziana Kweli Manake Kocha Yoyote Aliyezoea Liki Ya Spain Timu ni 2 waliobakia Magarasa! Mfungaji Bora Anafunga Goli 40 utafikiri Mpira Wa Kikapu! Basi Ligi itamshinda!!
Hii Ni Ligi Ya Wanaume Haina Kibonde Cha Kuzarau
lol! am still loading.... waiting for it nahisi ntatakasika mno tukiwapiga
of course ndio wako fit sana Maana itakuwa deby ya aina yake. Tutamkunguta tuu kama barcaMerseyside derby mwaka huu iko tricky sana ukizibgstia Everton wako fit Sana

Hahaaaa uliona reaction yake kwenye goli la Hendo the capt one of the magnificent goal this season (sorry Hendo you prove me wrong day after day)Msisahau kuwa we have GRUJIC, and he's yet to EXPLODE.