fakenology
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 1,002
- 673
Sakho na Matip waanze kama beki chaguo la kwanza wa kati
Can aanze pia
Nina hakika tutapata clean sheet
AIBU SANA kushindwa kupata clean sheet kwa low budgeted team kama Burnley
Tulimlaumu Moreno bure tu game ya kwanzaSakho namba yake anaivaa klavan, nafikiri klop hana mipango nae
Majogoo mnachukua ubingwa usiwe na wasiwasiInakera sana
Unamfunga Arsenal then unafungwa na Burnley
Hata sare tutashangilia!
Uashindwa kulinda clean sheet na Burnley?
Leo Burnley shoots golini bao 2Majogoo mnachukua ubingwa usiwe na wasiwasi
Klopp anaweza kucheza big mechi tu,hawa vibonde ndio kiboko yakeLeo Burnley shoots golini bao 2
Hata bila keeper tungefungwa bao 2
Goli zote mbili out of his feet
Hahahaaa! Mkuu, haya ndiyo maisha yetu au?!No Comment!
Mkuu huku ni kupanic tu yani timu ibadilishwe kila siku?Sioni kama mabeki leo wamecheza vibaya kiasi cha kuwaspacegoat..Timu ilikuwa haiunganishwi na viungo...mpira ukipotea mbele moja kwa moja kwa mabeki.Midfield yetu haiwafanyii shielding mabeki kabisa.Sakho na Matip waanze kama beki chaguo la kwanza wa kati
Can aanze pia
Nina hakika tutapata clean sheet
AIBU SANA kushindwa kupata clean sheet kwa low budgeted team kama Burnley
Sakho alishabadilisha jezi anavaa namba 3 kwa sasaSakho namba yake anaivaa klavan, nafikiri klop hana mipango nae
bado mapema ku-judge lakini ina maana moja tu rahisi....hatujafanya progress yoyote.Yaani unafunga top clubs alafu unafungwa na relegators. That is how we are since last season.
Kuna performance ukifungwa unaona kuna positivity ila siyo kwa performance ya leoHahahaaa! Mkuu, haya ndiyo maisha yetu au?!
Kabisa mkuu, hii ya leo ni kama timu haijuani kabisa. Hivi DS ana tatizo gani?Kuna performance ukifungwa unaona kuna positivity ila siyo kwa performance ya leo