Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Ed n Edd nEddy mimi napita tu
Inauma sana wadau wenzangu kuna game nyingine waweza ogopa kubet Ila sio kma hizi zakuamini ushindi alafu inakula kwetu
Wewe unaona biashara ya tents inashamiri misiba ni mingi sana.Kumbe kila mtu ana kilio chake?
Wewe unaona biashara ya tents inashamiri misiba ni mingi sana.
Ndio msiba wenyewe huo wa ku bet.Zaidi ya kufungwa kuna wanaolia kwasababu walibet na kuwapa ushindi liverpool.
Masikini.
Hendo ni jipu na DS nilikuwa simuelewi ni MF au striker. Piga bench hawa Can lazima acheze na lazima tuwe na plan B. Leo pass nyingi side pass yaani tulikuwa slow sana. Klopp please piga bench au uza hao Hendo na DS.Kabisa mkuu, hii ya leo ni kama timu haijuani kabisa. Hivi DS ana tatizo gani?
Huyu klop hii timu itamshinda, msimu uliopita hizi timu ndogo ndio tulifungwa sana, na hii rotation yake itamponza, unamuwachaje can nje, unamuwachaje orig unamuweka DSHendo ni jipu na DS nilikuwa simuelewi ni MF au striker. Piga bench hawa Can lazima acheze na lazima tuwe na plan B. Leo pass nyingi side pass yaani tulikuwa slow sana. Klopp please piga bench au uza hao Hendo na DS.
Huyu klop hii timu itamshinda, msimu uliopita hizi timu ndogo ndio tulifungwa sana, na hii rotation yake itamponza, unamuwachaje can nje, unamuwachaje orig unamuweka DSHendo ni jipu na DS nilikuwa simuelewi ni MF au striker. Piga bench hawa Can lazima acheze na lazima tuwe na plan B. Leo pass nyingi side pass yaani tulikuwa slow sana. Klopp please piga bench au uza hao Hendo na DS.