Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Unapocheza Against timu yenye Physicality kama Burnley,Leicester,Hull,and the like unatakiwa kuwa na wachezaji wenye physical PIA.....na bahati nzuri...leo hata Mane asingefanya lolote...angepata wapi nafasi ya kukimbia? Game ya Leo huhutaji kuwa na Lallana,Coutinho wala Firmino kwenye team...

badala yake unatakiwa kuwa na Grujic,Can,Hendo

Milner will never be a LB
 
Unapocheza Against timu yenye Physicality kama Burnley,Leicester,Hull,and the like unatakiwa kuwa na wachezaji wenye physical PIA.....na bahati nzuri...leo hata Mane asingefanya lolote...angepata wapi nafasi ya kukimbia? Game ya Leo huhutaji kuwa na Lallana,Coutinho wala Firmino kwenye team...

badala yake unatakiwa kuwa na Grujic,Can,Hendo

Milner will never be a LB
Embu mtoe Hendo kwanza hapo
 
Unapocheza Against timu yenye Physicality kama Burnley,Leicester,Hull,and the like unatakiwa kuwa na wachezaji wenye physical PIA.....na bahati nzuri...leo hata Mane asingefanya lolote...angepata wapi nafasi ya kukimbia? Game ya Leo huhutaji kuwa na Lallana,Coutinho wala Firmino kwenye team...

badala yake unatakiwa kuwa na Grujic,Can,Hendo

Milner will never be a LB


Mkuu Kwenye Grujic & Can Ninakukubali!! Lakini Kwenye Hendo Hapo Siwezi Kukubaliana na Wewe Hata Kidogo! Sababu Kubwa Ya Jana Kushindwa Kuipenetrate Hile Defence Line Ya Burnley Ni Huyu Hendo!
Kwani Yeye Akiwa Kama Ni Central Midfielder (CM) Jukumu Lake Kubwa Ni Kiungo Anayeiunganisha Timu, Mchezeshaji na Mtoaji Wa Zile Pasi Za Mwisho (Assist), Lakini Cha Ajabu Huyu Kwasasahivi Ni Very Poor Hana Uwezo Hata Kidogo Wa Kuunganisha Timu, Kuchezesha Timu, wala Hana Uwezo Wa Kupenyeza Zile Pasi Za Mwisho! That is Why We Failed to Penetrate the Burnley's Defence Line.

Sasa Hendo Ni Kiungo Gani Asiejua Majukumu Yake??
Hivi Anavyocheza Hendo Ndiyo Alivyokuwa Akicheza Alonso??
Mimi naamini Huyu Anapewa Promo Kwasababu Ni Muengereza Tu! Na Ndiyomaana Wakampromoti Kuwa Team Captain (C), Lakini Kiuhalisia Ni Mchezaji Wa Kusota Bench na Sio Kuwa Captain.
 
5
Big match ndii nini tena hii
au ni timu iliyopanda daraja Msimu huu nini huko EPL
Match; a contest in which people or teams compete against each other in a particular sport.
Big; of considerable importance or seriousness/
of considerable size, extent, or intensity.
 
Mdomo umekuwa mkavu ghafla. Kichwa kinauma na moyo unakimbia mithili ya geu! Nimetafuta matusi ya kuwatukana Henderson na Ds nikakosa. Mwishowe nikaja kuona kwamba kumdadavua na kumtwika mtu mmoja ama wawili mzigo, si sahihi. Timu ilivurunda yote! Wote walishindwa kwa njia moja ama nyingine kutimiza adhma na majukumu yao, mpaka kocha vilevile.
Kwani hakuna mtu wa kumroga Henderson jaman alale tu hospitali? Hivi huyu hata pale southampton si anakula benchi? Mchezaji basic. Mchezaji gani kiungo hujui mudu na kuugawanya mpira? Kapteni gani unashindwa kuonekana kipindi kama hiki timu i mabegani? Yani inafikia kipindi tukikutana na hivi vitimu relegators unasali na kufunga kwa maombi. Wakati ukikutana na wakubwa raha mustarehe. Jamani Klopp inabd ajue kwamba kushinda EPL ni lazima uvifumue hivi vitimu. Otherwise kuwafunga top clubs hakutosaidia chochote!
 
Klop asipo angalia atakuwa kama Lois Van Gaal

kocha mzuri lakini hataki kukubali ligi ya Uingereza ni tofauti na ligi zote duniani

unaweza shinda makombe Spain na Ujerumani na Uholanzi na Italy
ukifika England lazima ujifunze kitu kipya

Benitez,Van Gaal wote walishindwa hili... kulazimisha mbinu zako tu bila kuona hii ligi ilivyo tofauti

Uingereza defence lazima iwe solid....na watu wanne nyuma ni kama ni lazima...
hata timu iweje....
 
Nasikia habari za kumsign Indi beki versatile kutoka FC Porto. Acha tuendeleee kusikia tu. Ila kama inawezekana baada ya kumkosa Hector tufanye hii. Japokuwa Klopp bado anaonyesha interest kubwa na eneo la midfield. "I know you all want to buy LB. But what about midfielder?"
 
Tusi panic sababu ya kufungwa mecho moja
Na ni vizuri kufungwa mapema kujua udhaifu wetu kabla window haijafungwa
Tatizo la Liverpool sio Moreno kama wengi wanavyo amini
Moreno alikuwa nje tukapigwa bao 2 tayari
JK lzm awe na team mbili
(a)Team ya kwanza icheze na teams ambazo zina press football ambazo Liverpool huwa zinaifunga easily!Wachezaji kama Coutihno,Firmihno,Dan,Lovren, Can,Moreno,Clyne na Mane hawa wacheze dakika 90 na teams kama Spurs,Everton,Soton,Man U,Man City na Leicester
(b)Kuna teams za mitulinga kama vile CP au Burnley au Hull au Chelsea,hizo panga watu wenye manguvu kama Benteke,Origi,Sakho,Matip,Klavan,Baloteli,Hendo,Stewart na are alikes then Mane na Coutihno wanakuwa finishers tu

Lkn kung'angania hata teams zenye manguvu kucheza pressing football tutapata hadi ball possesion 99% lkn tutafungwa!Mpira na Burnley muda wote tunao sisi lkn dakika ya 90 ni 2-0 as a final result
 
Poleni sana wapendwa wangu mbona misiba imeanza mapema sana...... Ed n Edd nEddy pole sana mpenzi wangu toka kwenye handaki ulilojificha yameshapita,nipo nanyi kipindi hiki kigumu, you never walk alone

Asante mtani nimerudi network ilikuwa inanisumbua. Ikifika zamu yako nitakuja kukupooza pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom