Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hivi huyu mane kwanini huwa acheki is there any story behind...nmejitahidi kutafuta sehemu anacheka ila nmefail.
Ahahahaaa...mkuu umewaza mbali...hapo kwenye uso wa mbuzi ni ngumu kupachambua ila kuna habari kuwa sometimes anakosa nidhamu...alishawahi kuingia matatizoni yeye na wanyama wakati wakiwa soton
 
Ahahahaaa...mkuu umewaza mbali...hapo kwenye uso wa mbuzi ni ngumu kupachambua ila kuna habari kuwa sometimes anakosa nidhamu...alishawahi kuingia matatizoni yeye na wanyama wakati wakiwa soton
Maana jamaa ni wa mbuzi full time.!!
 
Mkuu Ed nEddy nakupa salamu
Big up kwa wanalivepool wote kwa kusongesha gurudumu. Nilipotea ila kwa chaati nilikuwa nawafuatilia kupata updates mbili tatu. Tuko pamoja...

Asante mkuu ... karibu tena

ila hii habari ya saido kuumia haijakaa poa.. I hope is not something serious

Kweli si nzuri ... ila habari chini ya kapeti ni miezi 3 nje
 
Good news now ...... By Skysport .... Mane suffer muscle injury .... hivyo atakuwa nje kwa wiki 1 hivi ...
 
We are lucky
Mane will miss only one game tena just because of precaution
Kuna petition Moreno afikishwe Mahakamani maana ndiye aliye muumiza Mane
Kops wamechukia sana huko
 
We are lucky
Mane will miss only one game tena just because of precaution
Kuna petition Moreno afikishwe Mahakamani maana ndiye aliye muumiza Mane
Kops wamechukia sana huko
Hiyo game mmoja mkipanga markovic na moreno lazma mkae
 
We are lucky
Mane will miss only one game tena just because of precaution
Kuna petition Moreno afikishwe Mahakamani maana ndiye aliye muumiza Mane
Kops wamechukia sana huko


Kama Ni Kweli Huenda ikawa Ni Racism au Ni Jealous Kutokana Na Kuwa Mashabiki WalimBlame Sana Kwenye Gemu ya Arsenal na Kumsifia Sana Mane.
 
Kama Ni Kweli Huenda ikawa Ni Racism au Ni Jealous Kutokana Na Kuwa Mashabiki WalimBlame Sana Kwenye Gemu ya Arsenal na Kumsifia Sana Mane.
Bahati mbaya tu
Moreno alikuwa na game baya sana siku ile
Akija Hector anaweza pelekwa kwa mkopo huyu
 
Hivi huyu mane kwanini huwa acheki is there any story behind...nmejitahidi kutafuta sehemu anacheka ila nmefail.
Mkuu hapa anatabasamu

1471498239808.jpg
1471498245206.jpg
1471498249195.jpg
 
Moreno atacheza na tunashinda easily tu
Moreno siyo mbaya kivile
Bao la kwanza Lallana pia alaumiwe,wkt Moreno kapanda yy akapokonywa mpira easily sana
Nafasi ya Mane anacheza Firmihno na nafasi ya Firmihno anasimama Dan
Sasa hapo tatizo lipo wapi?
Firmino hawezi kucheza pembeni
 
It will be a miss even if for one game but this time around our team got a good strength at the front (we can go with can-Hendo-gini & phil behind two upfront)...I don't want to imagine having and injury on our back line...😡
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom