Mnyakatari
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 2,102
- 1,909
Huyu Manninger sio kipa mzuri....Manninger lol
Huyu Manninger sio kipa mzuri....Manninger lol
Hana utofauti na bogdan zaidi ya hiyo experience tu .... nawaza ikatokea Migs akaumia what's nextHuyu Manninger sio kipa mzuri....
Mimi nadhani pamoja na kuwa siyo vizuri kufungwa goli nyingi hivi, lakini itasaidia kuwashitua kocha na wamiliki juu ya maeneo tuliyo uchi. Huyu kipa huyu....! Na tuombe dogo Grujic isiwe serious kweli.
poleni aise..sis chelsea huwa tunatoa dozi..mulizeni wa jana kilichotokea huko.....tatizo team kama liver sijui mnakuwaga wakamiaji kwa team kmaa kubwa hivi baca,chelsea,man u,dotmund,au bayan..ila vitimu vidgo vya kufyeka kwa butu la panga vinawatia dole....
kama nyie ni wanaume lindeni heshima..sio kila siku unakula chips halafu siku ya gemu kubwa kama barca unakula pweza na madhara yake ndo hayo...ndezi nyie..Duh, ndezi pekee ndiye anaweza kuongea na ndezi!!!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
poleni aise..sis chelsea huwa tunatoa dozi..mulizeni wa jana kilichotokea huko.....tatizo team kama liver sijui mnakuwaga wakamiaji kwa team kmaa kubwa hivi baca,chelsea,man u,dotmund,au bayan..ila vitimu vidgo vya kufyeka kwa butu la panga vinawatia dole....
![]()
![]()
kama nyie ni wanaume lindeni heshima..sio kila siku unakula chips halafu siku ya gemu kubwa kama barca unakula pweza na madhara yake ndo hayo...ndezi nyie..
Mkuu kuna watu wala hutakiwi kuwajibu unawaacha tuDuh, ndezi pekee ndiye anaweza kuongea na ndezi!!!
Kabisa! YNWA!Mkuu kuna watu wala hutakiwi kuwajibu unawaacha tu
Combination yake na Firmino, Origi na Coutinho itakuwa hot sana.Sadio mane kasi yake itatusaidia sana msimu huu naona penati zitakuwa nyingi sans
Combination yake na Firmino, Origi na Coutinho itakuwa hot sana.
Tunamuhitaji HECTOR ila sioni dalili za kuletwa Anfield. Moreno is a shit.Ila beki 3 hatuna
Pia center back anahitajika
Klavan, Clyne, Matip, Lovren na Sakho (japo majeruhi) kidogo nahema.Ila beki 3 hatuna
Pia center back anahitajika
Klopp asiposajili left back inabidi Joe Gomez apewe motivatio awe regular left back. Moreno awe back upTunamuhitaji HECTOR ila sioni dalili za kuletwa Anfield. Moreno is a shit.
Naona kama Klopp atamtumia Wijnaldum kwenye DM kwa mfumo wa 4-2-3-1 sambamba na Can.Au 4-3-3 akiongezeka Hendo hapo kati.LFC wakiweza kupata pesa ya Benteke haraka walete DM na Leftback.
LFC wakiweza kupata pesa ya Benteke haraka walete DM na Leftback.



Lucas the Lucky one