Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu watu wa jiji la Liverpool hawanunui the sun,hakuna manager wa liverpool anayefanya interview na the sun hata mchezaj haruhusiwi,juzi hapa Kina Thompson na Mwenzake ambao ni fans wa liver walikuwa wanafanya kazi kituo cha talk sport wakajiuzulu baada ya Mmiliki wa the sun kuwa ndie major shareholder wa talk sport so ukiwa Kama fan wa liver hutakiwi kusoma the sun au Kulisifia hata kuliongelea,

Yani wale the sun ndio walio report kuwa mashabiki wa liverpool wenyewe ndio walianza kukanyagana wenyewe katika tukio la Hillsborough Mwaka 1989 katika yale maafa wakati Polisi ndio waliofanya mpaka jamaa wakanyagane tena jamaa wakapigania kabisa ya kuwa Polisi hawakuwa na hatia hii kitu Iliwaumiza sana Liverpool hivyo sio liverpool wala Everton anayenunua gazet la the sun katika mji wa Liverpool
Asante Kop kwa Maelezo murua....unajua kipindi hilo tukio linatokea nlikuwa under 5 years of age....

nmefarijika kwa maelezo mazuri kiongozi...japo unaruhusiwa kuongeza zaidi...
 
Kwa ushindi mzuri wa jana nina imani kwamba hata majina makubwa, World class players watarudisha imani yao na Liverpool na wataanza kutamani kuja kucheza Liverpool FC.
 
1470557252749.jpg
maana yake nini
 
Messi reaction after the game.

"I never concentrated l was listening to you will never walk alone Luis always talk about it. We were humiliated today but l see this Liverpool team raping Manchester teams and Chelsea. It's not a secret that l like Liverpool and l might consider my future next season," he told ESPN.

#YNWA
 
Klavan ananipa raha sana. Anakaza kiuanaume kweli. Sema Moreno hapana kwa mm. Anahitaji mbadala. Hector! Jamani dah. Klopp afunge macho amnunue hiki kisiki na BPL tukateremkee!
 
Nilivyotazama tu game ya Barca, nilijua leo na Mainz watawekwa madogo wakina Arnold. Wisdom etc. Good! Ni muda wa kuonyesha kiwango chao.
 
Nini kilitokea mkuu mpaka kupelekea bifu hilo?
Bifu ni la zamani ukifuatilia ambapo mie mambo mengine naachia pembeni, ila Gazeti la Sun liliandika vibaya kuhusu waliokufa mashabiki wa LFC! TheS*n pia si LFC lishamuuzi Rihanna na wengi tu na lishawahi kushtakiwa mpaka gazeti lao la Jpili kufungiwa News of the World ambalo mmliki ni Myahudi Billionea Mardoch! pia Thesun lishawahi kusikiliza simu za Sir Alex za Rooney na Leo wameendika story ya Mke wa Lovren ku cheat na jamaa wake wa zamani demu wakati wana 16 huko Crotia! pia kuna jamaa aliwashtaki Thesun kwa kumtumia kama Fake mwarabu ili afuatilie Rio Fredinand Holiday wakawa wanampigia vipi umepata video au au pic ya Rio na wenzake hao ma black kama wanavuta Bangi? jamaa alibafili uchunguzi baada kuona Rio mtu freshi na kamualika kwa roho nzuri ila gazeti lilikuwa kibaguzi.
 
Sikujua leo tuna game? tushapogwa 4-0 na Mainz 05 now heheh ile timu ya kwanza halftime vs Barca ndio itaanza ligi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom