Gwamahala
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 3,925
- 2,327
Ragner Klavan ni Jiwe! sio Lovren
Nafarijika sana na hizi habari...
Ragner Klavan ni Jiwe! sio Lovren
Ukitaka kuamini cheki video wakati tunacheza nao UefaRagner Klavan ni Jiwe! sio Lovren
Grujic anavitu vya adimu, goli zuri sanasijapata mshuhudia huyu jamaa
ila naona ufundi ndani yake
its Only Pre season! kwetu vitu vya kawaida.
Jiandaeni Origi atamsalimia Cech sana pale EmiratesMuda wa kuweka vidau umefika. Mmeweka bonge la statement kwa kumfunga Barca leo. Naogopa wikiendi ijayo itakavyokuwa lol.
heheh siku ikifika mambo yanageuka vengine EPL wangekuwa wanafukuza na Marefa kale refa chembamba cha leo sikupendi angetolewa tu EPL!Muda wa kuweka vidau umefika. Mmeweka bonge la statement kwa kumfunga Barca leo. Naogopa wikiendi ijayo itakavyokuwa lol.
Jiandaeni Origi atamsalimia Cech sana pale Emirates
Klavan na MatipRagner Klavan ni Jiwe! sio Lovren
Klavan na Matip
Ndiyo waliongoza kwa clean tackle Bundesliga mwaka jana
glassboyST15 atakosa game ya ufunguzi dhidi ya arsenal sababu ya hip injury
Milner wanasubiri afanyiwe scan

Naona bifu la lfc na sun limekuwa kubwa baada ya klopp leo kukataa kujibu swali toka kwa mwandishi wake na kasisitiza hata jibu swali lolote toka kwao
Mkuu watu wa jiji la Liverpool hawanunui the sun,hakuna manager wa liverpool anayefanya interview na the sun hata mchezaj haruhusiwi,juzi hapa Kina Thompson na Mwenzake ambao ni fans wa liver walikuwa wanafanya kazi kituo cha talk sport wakajiuzulu baada ya Mmiliki wa the sun kuwa ndie major shareholder wa talk sport so ukiwa Kama fan wa liver hutakiwi kusoma the sun au Kulisifia hata kuliongelea,Nini kilitokea mkuu mpaka kupelekea bifu hilo?
Chanzo cha ugomvi wao ni nini?Naona bifu la lfc na sun limekuwa kubwa baada ya klopp leo kukataa kujibu swali toka kwa mwandishi wake na kasisitiza hata jibu swali lolote toka kwao
Nashukuru sana kaka kwa ufafanuziMkuu watu wa jiji la Liverpool hawanunui the sun,hakuna manager wa liverpool anayefanya interview na the sun hata mchezaj haruhusiwi,juzi hapa Kina Thompson na Mwenzake ambao ni fans wa liver walikuwa wanafanya kazi kituo cha talk sport wakajiuzulu baada ya Mmiliki wa the sun kuwa ndie major shareholder wa talk sport so ukiwa Kama fan wa liver hutakiwi kusoma the sun au Kulisifia hata kuliongelea,
Yani wale the sun ndio walio report kuwa mashabiki wa liverpool wenyewe ndio walianza kukanyagana wenyewe katika tukio la Hillsborough Mwaka 1989 katika yale maafa wakati Polisi ndio waliofanya mpaka jamaa wakanyagane tena jamaa wakapigania kabisa ya kuwa Polisi hawakuwa na hatia hii kitu Iliwaumiza sana Liverpool hivyo sio liverpool wala Everton anayenunua gazet la the sun katika mji wa Liverpool