Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

MosDef hajasema chochote humu tangu tumsajili Sadio Mane.Sijui kwa nini kwakweli.Kwenye siasa namfananisha na Mnyika,amekuwa kimya tangu chadema imsajili L owassa
...kidding
Hawa jamaa wasioonekana ni wa kusakwa warudishwe humu jamani! Maana hapa tunahitaji mchango wa kila mmoja. Na kuna jamaa mwingine wakati fulani alikuwepo sana hapa, anaitwa Liverpool fc kama sikosei, nina muda sana sijamuona, babu 'kidonge' naye siku nikiwa mode nitampiga ban kule jukwaa la mapenzi ili akumbuke huku, hahahaaaa!
 
Hawa jamaa wasioonekana ni wa kusakwa warudishwe humu jamani! Maana hapa tunahitaji mchango wa kila mmoja. Na kuna jamaa mwingine wakati fulani alikuwepo sana hapa, anaitwa Liverpool fc kama sikosei, nina muda sana sijamuona, babu 'kidonge' naye siku nikiwa mode nitampiga ban kule jukwaa la mapenzi ili akumbuke huku, hahahaaaa!
Asprin
 
Dah, rangi bayaaaa! Sijalipenda, basi tu.

Wakuu, wapi ndugu yetu MosDef?!

Na kama uliangalia mechi ya leo alfajiri ndo usingeipend zaidi bora hata black
Hahaaaaa hiii rangi ni shida lakini wameshinda siku ya kwanza tu kuivaa

Imepata memes nyingi sana siku walipoitambulisha hasa pic ya mane+can+sturridge walivyoweka serious face

Klopp alipoulizwa kuhusu hii jezi alisema hivi " It fresh, its cool, for me its green but then I am a little bit color blind" boss naye
 
Mimi nahisi mwaka huu tukianza na gear zuri tu mechi 5 za mwanzo wataisoma number. Team iko vizuri na kuna vijana wanakuja vizuri tu. Future is bright. Naona itakuwa mpira wa pasi fupi na speed maana kati tuko vizuri. Hatutaki super star ni team work basi.
 
Hawa jamaa wasioonekana ni wa kusakwa warudishwe humu jamani! Maana hapa tunahitaji mchango wa kila mmoja. Na kuna jamaa mwingine wakati fulani alikuwepo sana hapa, anaitwa Liverpool fc kama sikosei, nina muda sana sijamuona, babu 'kidonge' naye siku nikiwa mode nitampiga ban kule jukwaa la mapenzi ili akumbuke huku, hahahaaaa!
Wako wengi osokonoi Kaizer Tee Bag Kingmairo Plesis Janjaweed The Boss
 
Mimi nahisi mwaka huu tukianza na gear zuri tu mechi 5 za mwanzo wataisoma number. Team iko vizuri na kuna vijana wanakuja vizuri tu. Future is bright. Naona itakuwa mpira wa pasi fupi na speed maana kati tuko vizuri. Hatutaki super star ni team work basi.

Tatizo yule mwingereza DS15 anapenda kujiona super star kweli...wakati akina Coutinho/Firmino wapo humble tu, na kiuhalisia ndiyo wakali kuliko yeye!
 
Tatizo yule mwingereza DS15 anapenda kujiona super star kweli...wakati akina Coutinho/Firmino wapo humble tu, na kiuhalisia ndiyo wakali kuliko yeye!
Lakini jana coach kasema sio indivudual ni team sasa nadhani msimu uliopita aliona Klop haogopi kuweka mtu bench kama huchezi as a team na hii ndio ilikuwa advantage kwa Origi ku shine nakuonesha uwezo wake wakati wengi wetu tulianza kumtilia mashaka lakini leo na uhakika ata lead front line ya Liv.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom