Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Hahaaa Lucas ni very lucky manNiliona ile mechi anatoka anashikilia paja nikajua safari tayari ya kuelekea wodini![]()
![]()
![]()
![]()
Hahaaa Lucas ni very lucky manNiliona ile mechi anatoka anashikilia paja nikajua safari tayari ya kuelekea wodini![]()
![]()
![]()
![]()
Very luck indeedHahaaa Lucas ni very lucky man
Viungo wakali LMAO.. Viungo wakali ndio wakina Henderson, Milner LoooohSimkubali Hendo .
Mara Mia tungemuuza Hendo Allen akabaki
btw tuna viungo WA Kati wengi saivi hatari..
Wijnadrum,Lucas,Henderson,Grujic,Milner,Stewart,
Combination ya Mane,Coutinho,Firmino will conquer EPL
Pale mbele a fit DS atasaidia sana
next season I can see Mignolet warming the bench mpaka akome

Lucas(ila anatakiwakuondoka kabla ya Summer)
YNWA
Lakini Flannagan sio regular starter.Ni back up ya mabeki wa pembeni.A squad player to put it simple.Wampe tu Coutinho...hiyo idea ya unyumbani ndo inafanya mpaka sasa hatuna kapiteni wa maana.Nadhani Klopp angependa kumpa ukapteni mtoto wa geto aka mtoto wa nyumbani ndio maana kuna mechi na soton alimpa Flanagan kitambaa. Nadhani anamuandaa
Good leader on pitch Sakho or CanLakini Flannagan sio regular starter.Ni back up ya mabeki wa pembeni.A squad player to put it simple.Wampe tu Coutinho...hiyo idea ya unyumbani ndo inafanya mpaka sasa hatuna kapiteni wa maana.
A good idea too....i just don buy the idea of 'homeboysm' to be a factorGood leader on pitch Sakho or Can
Milner msimu uliopita stat zake hazijakimbiana mbali na Pogba hata chembe kwenye Ligi zao.Viungo wakali LMAO.. Viungo wakali ndio wakina Henderson, Milner Looooh![]()
![]()
![]()
![]()
Sakho kwanza then Can. Jetro Willems anajiuzisha kwa LFC sijui snapchat kajiweka na pic za LFC na twitter kampa pongezi Wijnaldum na kumwambia wataonana karibuni huyu Jamaa wa PSV hata simjui tusubiri tuone.Good leader on pitch Sakho or Can
Five yearsJoe Allen has today completed a permanent transfer to Stoke City Football Club.
Thanks for the memories Wales Pirlo
Captain me Naona apewe lovrennaona ya JK na BR
JK spent £61M received £27M",..(waiting,..)
BR spent £117M received £83M (with no cup)
*Liverpool Miss Leadership in the squad* kauli ya JK
huenda akafanya uteuzi wa Nahodha mpy kama sio wapya
kamzungumzia Sacko,Matip Lovren Lucas(ila anatakiwakuondoka kabla ya Summer)
pia hawa wanaopewa to captaincy hizi preseason games watakua wapo kwenye Majaribio
YNWA
Sakho kwanza then Can. Jetro Willems anajiuzisha kwa LFC sijui snapchat kajiweka na pic za LFC na twitter kampa pongezi Wijnaldum na kumwambia wataonana karibuni huyu Jamaa wa PSV hata simjui tusubiri tuone.