Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wijnaldum 15-20million Pound sio mbaya ila ningependa Midfield anayekata funua kati pale na Dogo Ejaria ananifurahisha tunpeleke Celtic au Ligi ya championship apate uzoefu wa kukomaa.
 
Wijnaldum 15-20million Pound sio mbaya ila ningependa Midfield anayekata funua kati pale na Dogo Ejaria ananifurahisha tunpeleke Celtic au Ligi ya championship apate uzoefu wa kukomaa.
Huyu jamaa Wijnaldum, hana makeke ila ni mzuri sana! Ni mchezaji mkubwa kuliko jina lake. Tukimpata nitafurahi sana!
 
Msimu huu Sakho atavaa jezi namba 3

591583348f66385aa085660645c00cc5.jpg
 
Hivi Steve Caulker yupo wapi?
Yule mbona mzuri sana kuliko huyu Klavan na kawa already tested
 
Mkuu Pazi, yule jamaa nafikiri league ilipoisha tu, na yeye ajira yake pale Liverpool ikawa 'hewa'
 
Huyu mtu sijui klopp alilazimishwa kumchukua hakum-treat well kabisa halafu Caulker still young
Klopp ana MATATIZO sana sometimes mkuu
Huyu Makhitiriayan(check my spells please),alimnunua yy akawa hampi namba na angebaki angemfukuzia mbali

Kaja kocha mwingine kampa nafasi,kijana anajua sana yule!Benteke,Ibe,Skrtel na Baloteli hataki hata kuwaona
Hata Hendo,Sturrigde na Lucas pia hajawakubali

Yeye ni Flanagan,Coutihno,Firmihno,Can,Ings na Origi
 
Klopp ana MATATIZO sana sometimes mkuu
Huyu Makhitiriayan(check my spells please),alimnunua yy akawa hampi namba na angebaki angemfukuzia mbali

Kaja kocha mwingine kampa nafasi,kijana anajua sana yule!Benteke,Ibe,Skrtel na Baloteli hataki hata kuwaona
Hata Hendo,Sturrigde na Lucas pia hajawakubali

Yeye ni Flanagan,Coutihno,Firmihno,Can,Ings na Origi
Kwa Mikhtaryan utakuwa unamuonea JK mkuu, kama ulikuwa unaangalia league ungeona ni kwa kiasi gani jamaa kapewa nafasi.

Msimu wa 2013/2014(kama sijakosea) mikhtaryan alikuwa kwenye first 11 ya klopp, jaribu kukumbuka hata kwenye champions alifanya kazi kubwa ila akaja kukosa clear chances nyingi dhidi ya Madrid pale Bernabeu ambapo madrid walienda kuchukua kombe kabisa
 
Kwa Mikhtaryan utakuwa unamuonea JK mkuu, kama ulikuwa unaangalia league ungeona ni kwa kiasi gani jamaa kapewa nafasi.

Msimu wa 2013/2014(kama sijakosea) mikhtaryan alikuwa kwenye first 11 ya klopp, jaribu kukumbuka hata kwenye champions alifanya kazi kubwa ila akaja kukosa clear chances nyingi dhidi ya Madrid pale Bernabeu ambapo madrid walienda kuchukua kombe kabisa
Mkuu
JK Kabla hajaondoka kuna kipindi hata reserves akawa hakai
Mm kwa maoni yangu Ibe na Benteke angewapa nafasi zaidi
 
Benteke na Ibe wapewe nafasi gan? Waondoke tu hawajasync kwenye mfumo kabisa...Ibe Hana accuracy Yan anapewa chance ila hamature...
 
Mkuu
JK Kabla hajaondoka kuna kipindi hata reserves akawa hakai
Mm kwa maoni yangu Ibe na Benteke angewapa nafasi zaidi
Mkuu, huo msimu alikuwa na majeruhi, almost first eleven yake yote pale Dortmund ilikuwa na majeruhi( Reus, Mikhtaryan,Gundogan,Hummel) ndo maana alikuwa na msimu mbaya ndo maana mtu kama Ramos alipata playing time.

Kilicho mtokea Dortmund ndicho kilimtokea Liverpool ambapo alikuwa na majeruhi wengi mpaka akamrudisha Ibe, na kumchukua as a back up maana hatukua na centre back mzima
 
Mkuu, huo msimu alikuwa na majeruhi, almost first eleven yake yote pale Dortmund ilikuwa na majeruhi( Reus, Mikhtaryan,Gundogan,Hummel) ndo maana alikuwa na msimu mbaya ndo maana mtu kama Ramos alipata playing time.

Kilicho mtokea Dortmund ndicho kilimtokea Liverpool ambapo alikuwa na majeruhi wengi mpaka akamrudisha Ibe, na kumchukua as a back up maana hatukua na centre back mzima
Nina uhakika mwaka huu tutakuwa na msimu wa kujivunia
Tukiongeza beki wa kushoto na lile dubwana lenye nguvu la Newcastle
We good to go
 
Klopp ana MATATIZO sana sometimes mkuu
Huyu Makhitiriayan(check my spells please),alimnunua yy akawa hampi namba na angebaki angemfukuzia mbali

Kaja kocha mwingine kampa nafasi,kijana anajua sana yule!Benteke,Ibe,Skrtel na Baloteli hataki hata kuwaona
Hata Hendo,Sturrigde na Lucas pia hajawakubali

Yeye ni Flanagan,Coutihno,Firmihno,Can,Ings na Origi

Sure kuna muda Klopp anazingua

Kwa Lucas inaonekana anahusishwa na deal la kuwa exchange player na Wijnaldum also inasemekana BR anamtaka so chance ya lucas kubaki ni ndogo sana

Hahaha Hendo msimu huu atafute pa kuanzia tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom