mak89
JF-Expert Member
- Sep 21, 2012
- 1,072
- 914
Na hakuna rumours za yeye kuondokaLast man stand (Rafa era)
![]()

Na hakuna rumours za yeye kuondokaLast man stand (Rafa era)
![]()

Zipo mkuu hasa GalatasarayNa hakuna rumours za yeye kuondoka![]()
![]()
![]()
![]()
Unaweza weka line up ya first half.....wengine tupo mbali.Naangalia hii mechi yetu vs Wigan live kupitia Azam tv. Forminho amekuwa mzuri sana!
Liverpool: Karius; Randall, Lovren, Matip, Flanagan; Brannagan, Stewart; Mane, Ejaria, Coutinho; FirminoUnaweza weka line up ya first half.....wengine tupo mbali.
Huyu Dogo, Kent ameni-impress sana! Atakujakuwa bonge la mchezaji!
na Woodburn halafu ni 16 years oldNinachojiuliza kwanini klopp anamchezesha sana huku akiwa ametoa go ahead ya kuondoka kwake?Woodburn anaongeza goli lingine dakika ya 73 Liverpool 2 wigan 0,
Markovic ame-change sana
Markovic ni mzuri tena sana sema BR alimvuruga kweli kweli mpaka kucheza wingback na kumuamisha positions kila mechi kuli-hinder his developmentNinachojiuliza kwanini klopp anamchezesha sana huku akiwa ametoa go ahead ya kuondoka kwake?
Yaani kama kuna mchezaji sitaki aondoke, ni huyu Markovic.Markovic ni mzuri tena sana sema BR alimvuruga kweli kweli mpaka kucheza wingback na kumuamisha positions kila mechi kuli-hinder his development
Markovic ni moja ya number 10 bora kabisa ambaye yeye kutoa assist ndo pride yake just like Ozil, hana mambo mengi sana ana direct football
PamojaAna milango ya kuondoka imefunguliwa kwake kuna chances za kubakia kama atakuwa na pre season nzuri
Yaah dogo hii summer wanataka wamtoe kwa mkopo kwa hiyo mwisho wa siku CB atakaye baki ni Lovren ambaye yuko fit kwa maana Illori inaangaziwa ataitwa kwenye olimpics hivyo atakosa mechi kadhaa huku Sakho na Gomez wakiwa majeruhi na jana Matip kaumia ingawa wanadai si kwa kiwango kikubwa leo naona kuna habari za usajili wa CB mwingine wa kumuhusu Ragnar Klavan ambaye deal yake inakadiriwa kuwa around £4.2 million.Kuna Wisdom pia....nimefatilia mechi mbili zilizopita....ni centre back mzuri sana aisee....hafanyi makosa kabisa.Ila nae nimeona kuwa anaondoka...!
Baada ya kuwa dhahiri kuwa Sakho na Gomez watakosa mwanzo wa msimu kwa sababu ya umajeruhi, itakuwa kituko sana kumuondoa Wisdom.Kuna Wisdom pia....nimefatilia mechi mbili zilizopita....ni centre back mzuri sana aisee....hafanyi makosa kabisa.Ila nae nimeona kuwa anaondoka...!