mak89
JF-Expert Member
- Sep 21, 2012
- 1,072
- 914
Nimeuona, dogo discipline hamna kabisa
Nimeuona, dogo discipline hamna kabisa
HakunaWakuu any signings mpya...?
Jordon Ibe is said to have agreed personal terms with Bournemouth, and will leave Liverpool in a £15 million deal this week.
All the best dogo
SurePesa nzuri sana hiyo...
Mkuu Clyne yupo mazoezini?nasikia barca wanamtaka eti?Sure
Kila kocha ana mipango yake ndugu, hata Ferguson alimuacha pogba aondoke badala ya kumuongezea mkataba na mshahara kidogo tu ila leo yeye (Ferguson) ana lament his decision ndo imetokea Joao Carlos TexieraWakuu kulikua na logic gani ya kumuuza yule kinda texiera? mbna naona ni very promising talent wakuu?
Ok mkuu ila inge pendeza kungekua na mkataba wa kumrudisha baadae au aende kwa mkopo tu..Kila kocha ana mipango yake ndugu, hata Ferguson alimuacha pogba aondoke badala ya kumuongezea mkataba na mshahara kidogo tu ila leo yeye (Ferguson) ana lament his decision ndo imetokea Joao Carlos Texiera
He's 23 bado uendelee kumtoa kwa mkopo? Wenye akili kama balotelli unatoa tuOk mkuu ila inge pendeza kungekua na mkataba wa kumrudisha baadae au aende kwa mkopo tu..

Wishing him the bestLooks like Skrtel complete he's move
Thanks for the memories
![]()
![]()
Clyne bado wao kurudi bado wapo Ibiza! kuna wachezaji watachelewa kutokana na Euro apo walitola mapema... kuhusu Barca wanasema zile habari alioandika anatakiwa afukuzwe kazua tu story na Klopp ndio bado anamuhitaji na si za kweli.Mkuu Clyne yupo mazoezini?nasikia barca wanamtaka eti?
Thank for your loyal services MartinLooks like Skrtel complete he's move
Thanks for the memories
![]()
![]()
Ok mkuu niliogopa sana mkuukwa sababu walipakaza kuwa hana furaha under Klopp....eti Klopp doesn't rate him ....nikashangaa kwakweli.Clyne bado wao kurudi bado wapo Ibiza! kuna wachezaji watachelewa kutokana na Euro apo walitola mapema... kuhusu Barca wanasema zile habari alioandika anatakiwa afukuzwe kazua tu story na Klopp ndio bado anamuhitaji na si za kweli.