Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nimemuona Markovic kwenye ile game ya juzi.Huyu jamaa nafasi yake ikoje baada ya usajili hasa wa Mane na Firmino.Ataendelea kutolewa kwa mkopo,atauzwa au atabaki na akibaki atakuwa accomodated vipi kwenye kikosi........

Sioni akitajwa kwenye list ya walio free au wanaouzwa.Akina Ibe,Skrtel,Benteke,Toure etc
 
Nimemuona Markovic kwenye ile game ya juzi.Huyu jamaa nafasi yake ikoje baada ya usajili hasa wa Mane na Firmino.Ataendelea kutolewa kwa mkopo,atauzwa au atabaki na akibaki atakuwa accomodated vipi kwenye kikosi........

Sioni akitajwa kwenye list ya walio free au wanaouzwa.Akina Ibe,Skrtel,Benteke,Toure etc
Marko anataka kubaki lakini sidhani kama atabaki maana Klopp amekiri kikosi ni kikubwa sana kinatakiwa kupungua
 
Marko anataka kubaki lakini sidhani kama atabaki maana Klopp amekiri kikosi ni kikubwa sana kinatakiwa kupungua
Kweli aisee kikosi ni kikubwa sana hasa hapo mbele kwenye final third....Sioni nafasi ya mtu kama Hendo....alaf ndo team captain.Huku mbele ndo usiseme....Lallana,Firmino,Coutinho,Mane,Ojo,Marko,Origi,Ings,Sturridge....
 
Kweli aisee kikosi ni kikubwa sana hasa hapo mbele kwenye final third....Sioni nafasi ya mtu kama Hendo....alaf ndo team captain.Huku mbele ndo usiseme....Lallana,Firmino,Coutinho,Mane,Ojo,Marko,Origi,Ings,Sturridge....
Msimu huu kuna tetesi klopp anachagua capt wake
 
New cut
fba1d07885e5e46403c15f005c25fb38.jpg
 
Ni kweli mkuu, tulicheza ugenini na Tranmere. Kuna dogo anaitwa Trent alifanya move tamu sana akampa pande Ings.
Too much wasteful infront of the goal
Kama tungekuwa clinical Tranmere hata bao 5 tungewapiga

Klopp afanyie kazi mbele
 
Papi_jr
Umejiunga juzi Jamii forums
Hapa kuna thread ya Liverpool ya karne iliyopita na ina wachangiaji wengi sana

Futa huo upupu wako then jiunge na sisi,ukikaidi tutawaambia mods wataifuta na watakufungia
Kama wewe ni Kopites hapa tupo kibao
Nilishikwa na butwa",.. kama natafutwa, baada ya kukutwa",.. sikutaka kutia neno",..
bora nimekuta umetia neno YNWA
 
Habari zinasema kipa wa zamani wa arsenal Alex Manninger ameitwa na Klopp kwenye training ili kama akimuimpress awe kipa namba tatu.
Kwa sasa ana miaka 39,alikuwepo arsenal 97-2002 na atapewa mkataba wa mwaka mmoja akifuzu.

Pia alikuwepo Juve 2008-2012 na kwa sasa anatokea Augsburg kama mchezaji huru
 
Habari zinasema kipa wa zamani wa arsenal Alex Manninger ameitwa na Klopp kwenye training ili kama akimuimpress awe kipa namba tatu.
Kwa sasa ana miaka 39,alikuwepo arsenal 97-2002 na atapewa mkataba wa mwaka mmoja akifuzu.

Pia alikuwepo Juve 2008-2012 na kwa sasa anatokea Augsburg kama mchezaji huru
Miaka mingapi???
 
Habari zinasema kipa wa zamani wa arsenal Alex Manninger ameitwa na Klopp kwenye training ili kama akimuimpress awe kipa namba tatu.
Kwa sasa ana miaka 39,alikuwepo arsenal 97-2002 na atapewa mkataba wa mwaka mmoja akifuzu.

Pia alikuwepo Juve 2008-2012 na kwa sasa anatokea Augsburg kama mchezaji huru
Yaah anatakiwa apate mwaka 1 sababu Fulton na Ward (ward kasha sign miaka 5) wanaondoka kwa mkopo huku Bogdan akiwa hana chake pale
 
Papi_jr
Umejiunga juzi Jamii forums
Hapa kuna thread ya Liverpool ya karne iliyopita na ina wachangiaji wengi sana

Futa huo upupu wako then jiunge na sisi,ukikaidi tutawaambia mods wataifuta na watakufungia
Kama wewe ni Kopites hapa tupo kibao
Hakuna kop mwenye majibu kama yale 99% ni mamluki tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom