Tatizo la mashabiki wa ligi ya uingereza tumeathiriwa na mpira wa majina. Tunataka tusikie kasajiliwa lewandosky au Gomez ndo tuseme tumesajili. Mpira wa sasa umebadilika, kunahitajika wachezaji wa kujituma na wenye roho za kupambana. Leicister wamechukua ubingwa wana mchezaji gan mkubwa? Atletico Madrid wanawatoa barca na kucheza fainali uefa wana wachezaji gani wenye majina? Mane ni mzuri ana nguvu, spd,ball control na anakaba. Wachezaji wa aina hii wanauwezo wa kucheza timu yoyote kwa mfumo wowote. Tena kwa mfumo wa klopp anafit kwa 100%. Tuache kuangalia majina
