Narudia kusema kuwa players only need money!i am sure Sterling will be happy to earn a lot of money for the next three years even if it takes him to be on the bench,kumbuka kuhusu enrique na glen johnson,Kama haitatokea timu nyingine kumuwekea dau kubwa la mshahara atabakia City tu.
Nope, hatakuwa na furaha hata kidogo..and siyo kila mchezaji yupo motivated na Money..na pia kung'ang'ania kubaki kwenye club moja inategemea na uwezo wa mchezaji na umri wake, Enrique aling'ang'ania kubaki LFC kwasababu isingeweza kutokea Club yoyote ambayo ingemlipa mshahara ambao sisi tulikuwa tunamlipa hii case ni tofauti na kwa sterling he's just 21 na ana potential kubwa sana, so kukaa bench wakat ana miaka kibao ya kucheza hakuwezi kumletea furaha hata kidogo.
LFC ilioffer hela nyingi kwa Ousmane Dembele kuliko Dortmund but he chose Dortmund, hii imewatokea Manure utd pia Embolo amechagua kujiunga na Schalke, unadhan nani alioffer hela nyingi hapo?? ambitions ndo inayomjenga mchezaji, youngsters wanahitaji kuwa na washauri wazuri. Thats it.
Career ya Sterling imeharibika, unafikiri kina Rodwell, Sinclair etc wanafuraha katika maisha yao baada ya kuharibu career zao kwasababu ya Pesa? wako wapi sahiv?
You cant blame mchezaji wa miaka 26-27 na kuendelea kumove kwenda kwenye club nyingine kwasababu ya Pesa, kwasababu umri unamruhusu kufanya hivyo, lakin kwa Youngsters huwa zinakuwa ni career ending moves. ni wachache sana huwa wanafanikiwa, LFC were never going to pay Sterling 180k per week (NEVER)..
NB: Mchezaji yoyote yule Duniani anayeforce kwenda kucheza Barcelona/Madrid/Bayern huwa hafanyi hivyo kwasababu ya Pesa bali ni Ambitions na ni kila dream ya mchezaji kucheza kwenye hizo clubs, Suarez accepted a pay cut kwenye mshahara wake kujoin Barcelona.