Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool yarudi tena kwa Christian Tello,wa FC Barcelona ikitaka kumsajili kwa release clause ya €25,and he is unlikely to remain FCB for next season.

Tello alikua kwa mkopo Fiorentina msimu uliopita kwa kufunga mabao mawili na ku assist nane kwa 15 appearance uko Sitie A..
YNWA"
 
Liverpool yarudi tena kwa Christian Tello,wa FC Barcelona ikitaka kumsajili kwa release clause ya €25,and he is unlikely to remain FCB for next season.

Tello alikua kwa mkopo Fiorentina msimu uliopita kwa kufunga mabao mawili na ku assist nane kwa 15 appearance uko Sitie A..
YNWA"

my poor liverpool'does it mean uwezo wetu wa kuvuta top quality players umeishia kwa huyu Tello!!ambaye hata Fiorentina hawamtaki?
 
Liverpool yarudi tena kwa Christian Tello,wa FC Barcelona ikitaka kumsajili kwa release clause ya €25,and he is unlikely to remain FCB for next season.

Tello alikua kwa mkopo Fiorentina msimu uliopita kwa kufunga mabao mawili na ku assist nane kwa 15 appearance uko Sitie A..
YNWA"
huyu Tello toka yupo Barca mie sijaona uchezaji wake naona wanamsifia Bure tu au Media zao, Barca ni timu nzuri sana kiasi hata mie na wewe tukipangwa mbele kunauwezekano wa asilimia 80 kufunga goli ukaonekana bonge la player.
 
Klopp alikuwa anachukua watu wasiojulikana na kufanya wajulikane Mara ya mwisho LFC ilisaidia kwa mtu kama Xabi Alonso na Luis Garcia na Pepe Reina siogopi sana ila tuki sign Higuain basi nitakula Viatu vyangu vya Ngozi bila Maji.
 
huyu Tello toka yupo Barca mie sijaona uchezaji wake naona wanamsifia Bure tu au Media zao, Barca ni timu nzuri sana kiasi hata mie na wewe tukipangwa mbele kunauwezekano wa asilimia 80 kufunga goli ukaonekana bonge la player.
Mkuu tetesi tu usijipe pressure
 
Mkuu tetesi tu usijipe pressure

yani tetesi zetu hadi saivi sijaona mchezaji wa maana tunayehusishwa nae,tumekuwa tukihusishwa na cheap unknown players ambao hata tukiwanunua wanaishia kuwa mastaa alafu wananunuliwa na timu zinazotaka ubingwa...watch out what is going to happen to Countinho.
 
Happy 24th birthday the Magician

2e4286ebd94bdfeacbcb20112225fae6.jpg
 
Eeeehh Ed n Edd nEddy
Na kwa mujibu wa Gazeti la the Guardian,.. tumebid £9.5 million ila nimeona Goal.com wamesema ni £11 million.Na zielinski mwenyewe amekataa kwenda Napoli aki offer big opportunity kwenda Anfield,..
 
yani tetesi zetu hadi saivi sijaona mchezaji wa maana tunayehusishwa nae,tumekuwa tukihusishwa na cheap unknown players ambao hata tukiwanunua wanaishia kuwa mastaa alafu wananunuliwa na timu zinazotaka ubingwa...watch out what is going to happen to Countinho.

Ndio filosofia ya Jurgen Klopp na Liverpool ya siku hizi
 
my poor liverpool'does it mean uwezo wetu wa kuvuta top quality players umeishia kwa huyu Tello!!ambaye hata Fiorentina hawamtaki?
Ndiyo mkuu

Hatuchukui vikombe.Hatushiriki michuano ulaya.Hatuna hela nyingi kiasi hicho.Tutampata top class player gani unadhani...Hao akina coutinho wenyewe tulionao kuwabakiza ni shughuli mkuu
 
Nimekuwa nikisema mara kwa mara kuwa kuna foul-play zinafanyika katika upangaji wa UCL draws. sasa naona Sepp anakubali kuwa mchezo mchafu upo katika upangaji wa draws..
 
Nimekuwa nikisema mara kwa mara kuwa kuna foul-play zinafanyika katika upangaji wa UCL draws. sasa naona Sepp anakubali kuwa mchezo mchafu upo katika upangaji wa draws..
Sepp naye ana lake jambo kipindi kile analaumiwa alikata anakuja kukubali leo ataanza kusema hata yaliyotakiwa yasijulikane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom