Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Leaked away kit .... ikiwa kweli huu mzigo siyo kabisa labda mpaka wazivae
Hahaaaa ndiyo hivyo hivyoMmh Ed, hiyo ni nini?! Au mchina yangu labda inanidanganya.
Daah too sad ... 31yrs tuDaniel Agger ametangaza kustahafu soka leo hii.
One of my favorite Top players to ever played for LFC.
#LEGEND
kuna jamaa anahusika sana na kuharibu career ya Agger.Daah too sad ... 31yrs tu
alikuwa katika mission ya kuwaondoa.legends wote kwenye club, akihisi watakuwa threat kwenye team na katika reign yake.Huyu hapa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
HahahaaaaaMkuu, ningekuwa mod ningekupiga ban hata ya masaa lol. Bora kumtaja jina huyo jamaa kuliko kuweka lipicha lake hapa!
Habari njema kiasi chakeInaonekana FSG wanakaribia kuiuza Club (us)
Due Diligence being undertaken, na inaonekana ni suala la muda kidogo.
kuna Arabs na Chinese investors ambao wanahusika na hii Take-Over. (Naming rights za stand nadhan wamepewa wachina- (hii hausiki na Take-Over).
Club ina thamani ya £1.5Billion kwasasa, ni kama double ya thamani waliyoikuta nayo club wakat wanainunua kipindi kile So WATAIUZA club kwa FAIDA kubwa sana.
Deal inaweza kuchukua months or inaweza ikawa next summer (mwakani) BUT Good luck to FSG, walitutoa sehem mbaya sana (Dark days) na wametuweka sehemu nzuri (financially).
Emre mbioni kupewa mkataba mpya