Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Happy birthday Smicer
Mkuu muda kama huu mwaka ujao ndiyo tutaongea mengiJidanganye tu. Chama langu tunajipanga bado timu nyingine
Tuombe uzima tuMkuu muda kama huu mwaka ujao ndiyo tutaongea mengi
AminiTuombe uzima tu
Hahaaaa mkuu ikitokea msimu huu hatubebi Epl ama FA (chaguo last mwisho kabisa) naacha kufatilia mpira kabisa hivyo yaweza ikawa muda wa mwisho kutangaza new sign zaidi new season
TBT:
ON THIS DAY: THAT night in Istanbul.
![]()
Just wait mkuu mambo mazuri hayataki harakaGundogan,Gotze na Xhaka ndo tushawakosa hivyo.Kukosa uefa na hata europa kunatufanya tuendelee kuwa klabu isiyovutia wachezaji wazuri.Pia tunaendelea kuwa klabu iliyo na wasiwasi wa kukimbiwa na wachezaji wake wazuri muda wowote kama tu watatakiwa na timu zenye mafanikio ulaya.
Na bila big signings sioni uwezekano wa kutoboa msimu ujao.Sijui lakini.......
Sijui tutampata huyo kijana maana tumekuwa link nae for the past 2 weeks, his buyout clause ni euro 60 ni hela nyingi sana hizoRumor: Yesin Brahimi
Ngoja tuone tutakapo ishia ila ripoti nyingi nimeona ni euro 45Sijui tutampata huyo kijana maana tumekuwa link nae for the past 2 weeks, his buyout clause ni euro 60 ni hela nyingi sana hizo
Xhaka and Gundogan were never coming to liverpool... Goetze may still come kama kocha hapampenda, he wanted UCL and unfortunately he didnt get itGundogan,Gotze na Xhaka ndo tushawakosa hivyo.Kukosa uefa na hata europa kunatufanya tuendelee kuwa klabu isiyovutia wachezaji wazuri.Pia tunaendelea kuwa klabu iliyo na wasiwasi wa kukimbiwa na wachezaji wake wazuri muda wowote kama tu watatakiwa na timu zenye mafanikio ulaya.
Na bila big signings sioni uwezekano wa kutoboa msimu ujao.Sijui lakini.......