Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tatizo ukiwapangia hao wanakaza mech inakua ngumuu angalia hizi mechi 2 zilivyo nyepesi
Tunampiga Everton easily kabisa!
Ward atakaa golini na kati ataanza Kolo na Skrtel lkn pembeni lzm awe Moreno na Clyne

Mbele ili kumpa match fitness lzm acheze dakika 90 Dan na Firmihno
 
Tunampiga Everton easily kabisa!
Ward atakaa golini na kati ataanza Kolo na Skrtel lkn pembeni lzm awe Moreno na Clyne

Mbele ili kumpa match fitness lzm acheze dakika 90 Dan na Firmihno
Huyu kinda anae kuja kwa kasi hutaki andeleze alio anza kufanya mkuu?
 
Roberto Firmino has been involved in 12 goals in his last 11 league games for Liverpool FC (8 goals, 4 assists).

4642d63897a3d07e0b00c8f29ebe9e2b.jpg
 
Kwa form ya Origi ya sasa, sidhan kama tuna haja ya kuspend hela kwa ST mwingine, nadhani Dembele atatosha kabisa, manake tuna DS, Origi, Ings na Bobby can play kama ST pia..add Dembele kwenye hiyo list, then striking force inakuwa balanced..
I want mbaya wetu alietunyanyasha Aubemayang hahahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom