everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Shukrani mkuu kwa majibu mazuri.Regulation za UEFA zinaruhusu maximum timu 5 kushiriki Uefa competition, hivyo ikitokea hivyo washindi wa Europe (City na Liverpool) wanaingia UCL moja kwa moja. Then waliochini kny msimamo wa ligi wanapigwa bench.