Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

mpaka leo mpaka ss sijawaona hata ule msemo wa mmebahatisha hawajaja kusema sababu wanajua hatujabahatisha YNWA! ila Dortmund mie toka ile draw sikuwaogopa ila Villareall nimeona cheza yao kidogo itakuwa ngumu.
Kwenye mpira hamna kubahatisha banaa ila huwa tunatingishana tu kuambiana hayo maneno,udhaifu wa mpinzani wako ndo ushindi wako..... All the best LFC.........mi nimefurahi tu Klopp amekusaidia hujatukana tena
 
Thanks.......mna kibarua kizito cha kuiletea tena heshima England please itoeni kimasomaso ...... All the Best LFC & City.
Yaah...kweli kibarua bado sio slope football haitabiriki hata kidogo. Forward ya hawa jamaa pia sio ya kibeza. Ukiwacheki Laliga they are 3 places above Sevilla with 12 pts difference. Hivyo ni wakali
 
Semi final Liverpool vs Villareal. First-leg Spain, second-leg Anfield. A decent draw. Tumemkwepa Cup holder
Kitu kimoja watu hawakijui ni kuwa Mungu ni shabiki wa Liverpool...... Anayebisha amuulize F. Tores

Wengine watanambia mbona L. Suarez hajapotea lakini najua watakua hawajui kuwa alipata kibali cha Mungu.

Watu wasifanye masihara na timu ya Mungu.... wataaibika.

cc: BVB
Bcc: AC Milan
 
Kitu kimoja watu hawakijui ni kuwa Mungu ni shabiki wa Liverpool...... Anayebisha amuulize F. Tores

Wengine watanambia mbona L. Suarez hajapotea lakini najua watakua hawajui kuwa alipata kibali cha Mungu.

Watu wasifanye masihara na timu ya Mungu.... wataaibika.

cc: BVB
Bcc: AC Milan
Umetishaaaa mkuu!!
 
UCL
Man City vs Real Madrid
Bayern vs Atletico Madrid
Naona Madrid Derby kweny UCL Final

Ee Mungu zibariki sana Bayern na Man City.......Baadaye Mungu wetu uibariki zaidi Bayern Munich

Kama haijakupendeza, ee Mungu, basi wabariki Atletico Madrid, Bayern na Man City.

Fumba macho yako Ee Mungu usiwaone Real Madrid......

Twakuomba utusikie

Amen!!
 
Yaah...kweli kibarua bado sio slope football haitabiriki hata kidogo. Forward ya hawa jamaa pia sio ya kibeza. Ukiwacheki Laliga they are 3 places above Sevilla with 12 pts difference. Hivyo ni wakali
Yes Nawatambua Villareal siyo wadogo lakini mpira unadunda hope you will make it....
 
Ee Mungu zibariki sana Bayern na Man City.......Baadaye Mungu wetu uibariki zaidi Bayern Munich

Kama haijakupendeza, ee Mungu, basi wabariki Atletico Madrid, Bayern na Man City.

Fumba macho yako Ee Mungu usiwaone Real Madrid......

Twakuomba utusikie

Amen!!
Eee Mungu ibariki sana Man City iinue juu toka mavumbini mpka kuketi na wakuu. .......Mimi ombi langu moja kuu tu Man City Bwana ninaamini umesikia .....
 
Thanks Lord naliona kombe likija anfield usiniulize sababu uefaaa ileeeeee

b975cad3c4e4f7e6d259c7e8f11eb816.jpg
 
mpaka leo mpaka ss sijawaona hata ule msemo wa mmebahatisha hawajaja kusema sababu wanajua hatujabahatisha YNWA! ila Dortmund mie toka ile draw sikuwaogopa ila Villareall nimeona cheza yao kidogo itakuwa ngumu.
Waoga sana saa hii kuja nyumba hii zama zao zimeisha
 
Hivi ikatokea scenario Mancity wakachukua UCL ila kwenye ligi wakawa wa 5 na Manu wa 4, alafu liverpool wakachukua Europa, england itawakilishwaje?
Regulation za UEFA zinaruhusu maximum timu 5 kushiriki Uefa competition, hivyo ikitokea hivyo washindi wa Europe (City na Liverpool) wanaingia UCL moja kwa moja. Then waliochini kny msimamo wa ligi wanapigwa bench.
 
Regulation za UEFA zinaruhusu maximum timu 5 kushiriki Uefa competition, hivyo ikitokea hivyo washindi wa Europe (City na Liverpool) wanaingia UCL moja kwa moja. Then waliochini kny msimamo wa ligi wanapigwa bench.
Kwa Uingereza kwa mfano, Man U akichukua FA??
 
Sijaelewa swali lako kwamba England itawakilishwaje??
Nilitaka kujua ikitokea hiyo scenario ni kwamba hizo timu zote bila kutazama taratibu za kiundani kabisa unaweza ona kuwa zote zimefuzu, nilitaka kujua kama england ingeweza wakilishwa na timu sita, ila kuna mdau hapo juu kanijibu.
 
Regulation za UEFA zinaruhusu maximum timu 5 kushiriki Uefa competition, hivyo ikitokea hivyo washindi wa Europe (City na Liverpool) wanaingia UCL moja kwa moja. Then waliochini kny msimamo wa ligi wanapigwa bench.
Hawatapigwa chini mkuu. Wataenda Europa. Wa sita na saba ndo itakula kwa mazima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom