So be it, oh Creator!!We'll beat Dortmund.
FA wenyewe wanaweka mapema sana mechi kati ya liverpool na man utd hazichezi usikuHakuna game dhidi ya LFC na Utd ambayo huisha bila fujo pale England, but FA huwa wanazifunika, so kama UEFA wameguswa sana na fujo za juzi, walitakiwa wafanye fair, Anfield kulikuwa na chants za ajabu kutoka kwa manure fans ambazo hazivumiliki, but kwa juzi ndo wanafajifanya kuchukua action..
kweli kabisa, wanaeilewa sana dark side ya hii match..FA wenyewe wanaweka mapema sana mechi kati ya liverpool na man utd hazichezi usiku
that away game is crucial, Klopp atakuwa anafikiria zaidi kuhusu draw au goal moja la away..So be it, oh Creator!!
Unalalamika? Kateni rufaa UEFA....yaani unataka UEFA wachukue hatua dhidi ya chants? Really? Unalinganisha chants (abstract) na fujo (real and physical)????, Anfield kulikuwa na chants za ajabu kutoka kwa manure fans ambazo hazivumiliki, but kwa juzi ndo wanafajifanya kuchukua action..
seriously? chants na banners za kumock watu waliofariki bila mapenzi yao?? how can someone mock that Hilsbrough incident?? wale waliokufa wameacha family na watu waliokuwa wanawapenda, unawezaje kumock kitu kama hicho? na kilichopelekea fujo ni kipi? si ni hizohizo chants? kwahyo ni sawa team pinzani kumock lile suala la Munich??Unalalamika? Kateni rufaa UEFA....yaani unataka UEFA wachukue hatua dhidi ya chants? Really? Unalinganisha chants (abstract) na fujo (real and physical)????
Tukiweka emotions sana kwenye mchezo wa ushindani, unaweza changanyikiwa...pamoja na kutokubaliana na chants za namna hiyo, ila they don't really change anything...if Loserfools feel unfairly treated, wakate rufaa...si kuna video records zenye kuonyesha hizo chanting?seriously? chants na banners za kumock watu waliofariki bila mapenzi yao?? how can someone mock that Hilsbrough incident?? wale waliokufa wameacha family na watu waliokuwa wanawapenda, unawezaje kumock kitu kama hicho? na kilichopelekea fujo ni kipi? si ni hizohizo chants? kwahyo ni sawa team pinzani kumock lile suala la Munich???
unajua kwamba kulikuwa na LFC fans kama 10-12 ambao walianzisha chants za Munich kwenye away end ya OT na ni moja kati ya sababu zilizopelekea fujo na injuries kwa fans?? sasa kwann kwenu nyie Chants za Munich ziwe bitter kwenu na siyo hilsbrough?? chants kama zile hazitakiwi katika soccer, kuna clubs huwa zinapigwa fine na kuadhibiwa kwa chants za ubaguzi wa rangi ambazo hazina utofauti na chants za kumock vifo vya innocent people ambao waliacha watu wanaowapenda hapa duniani..
Soccer lipo kwaajili ya kufurahisha watu na kuwaweka watu pamoja, chants kama hizi hazihitaji, haipendezi kuumiza hisia za watu ambao wanahusika kwa namna moja ama nyingine na zile incidents..Tukiweka emotions sana kwenye mchezo wa ushindani, unaweza changanyikiwa...pamoja na kutokubaliana na chants za namna hiyo, ila they don't really change anything...if Loserfools feel unfairly treated, wakate rufaa...si kuna video records zenye kuonyesha hizo chanting?
Lile bao la Cou 10 hata malaika mbinguni walishangilia.Lile goal alilifunga Coutinho, angefunga Messi, tungesikia maneno kibao...and some utd fans compared Coutinho with Herrera
lmaooo, HE SENT VARELA BACK TO URUGUAY AND DE GEA BACK TO SPAINLile bao la Cou 10 hata malaika mbinguni walishangilia.
Huwezi funga goli la namna ile.... tena uifunge timu yenye jina la mashetani afu mbingu ikae kimya.lmaooo, HE SENT VARELA BACK TO URUGUAY AND DE GEA BACK TO SPAIN
And.....he almost ended carrick's career..