Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

28e650d15fd973e46bcf8876e923e3e7.jpg
 
Okay. And this too, I'm bookmarking it.
Ila umeshusha hadhi ya SAF kwa kumlinganisha Klapp na SAF. Klapp hastahili hata kugusa footprint ya au hata kivuli cha SAF.
Klopp bado umri unaruhusu kufikia mafanikio ya Babu!Ktk EPL ni yy mwenye sifa hizi

Au Big Sam ndiye ww unaona anaweza mfikia Babu?Au Pachetino au Wenger au Pelle?
 
Liverpoolfc Na Dortmund Ile #YNWA itasikika mpaka miji ya Pembeni tune ya Nguvu #YNWA!
 
Liverpoolfc Na Dortmund Ile #YNWA itasikika mpaka miji ya Pembeni tune ya Nguvu #YNWA!
Mkuu Pazi
Na Dortmund ni game ngumu kwetu,tungecheza na mwingine yyt ningekuwa na uhakika wa 100% nusu fainali tungepita!!
 
Dortmund ni team bora kbsa kwenye European league pia uyu kocha wao mpya kawabadilisha style yao saizi wana keep mpira sana so tusubili tuone
 
Vizuri Dortmund tunawachapa vizuri Tu Away Na Home tutawacharanga vibaya.
A couple of positives - (1) Klopp knows Dortmund inside out. (2) If we win this tie then we have a fantastic chance to win this competition.
 
Napenda timu za England kwenye uefa na Europa lakini mtihani wa city ni afadhali kuliko Liver Nina hakika dirtmond angekuwa uefa anaweza funga yoyote kwa fomu nzuri kabisa
 
Jürgen Klopp "I am really happy to introduce my new team to Borussia Dortmund. Playing in Dortmund is one of the best things you can do in football."

f61b0f2ad5c21005871a17f74fd1954b.jpg
 
Klopp bado umri unaruhusu kufikia mafanikio ya Babu!Ktk EPL ni yy mwenye sifa hizi

Au Big Sam ndiye ww unaona anaweza mfikia Babu?Au Pachetino au Wenger au Pelle?
Hakuna wa kumfananisha na SAF braza...labda kama unataka kufosi kingi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom