Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Milner left back imemshinda, Sturridge anacheza kifaza sana ndo maana nilisema hii game Origi alitakiwa kuanza.

That coutinho's goal is unbelievable
Milner anakaba sana,kwa game ya leo tunahitaji mkabaji kama yy!!

Origi aanze na Southampton maana Dan sasa anatuyeyusha tu,hana uwajibikaji
 
Milner anakaba sana,kwa game ya leo tunahitaji mkabaji kama yy!!

Origi aanze na Southampton maana Dan sasa anatuyeyusha tu,hana uwajibikaji
Coutinho amefanya kazi kubwa Sturridge anakuja kupoteza kizembe wakati angeshoot mapema au angetoa pasi
 
Sturidge muda mwebgine Kama demu, Origi kabadili game hii tushapita.
 
Leo United kidogo wametupa mapigo ya moyo ILA magician ndio noma Leo clyne nimemuonea huruma.
 
Leo United kidogo wametupa mapigo ya moyo ILA magician ndio noma Leo clyne nimemuonea huruma.
Tuwe wakweli jamani,leo Man U na Liverpool game nzuri mno iliyojaa ufundi

Tukutane na yyt isipokuwa tu Dortmund
 
Vipi Majogoo yanaiogopa Dortmund?!

Hongereni watani...
Kocha wa Dortmund kaichukua team toka JUNE mwaka jana so ana muda mrefu na team wkt Klopp kaichukua team hivi karibuni

Tukicheza nao round ijayo "likely wakatupiga"lkn ikiwa May huko wkt the EPL's new Ferguson(Klopp)atawaandaa vijana tunawachapa!

Liverpool is getting better and better!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom