Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Jürgen Klopp has lost 4 consecutive cup finals:

Dortmund 1-2 Bayern

Dortmund 0-2 Bayern

Dortmund 1-3 Wolfsburg

Liverpool 1-1 (1-3) Man City
 
Sijawahi muona ila kocha aliamini atapata
Na suala la nani atapiga penati wanakuwa wameshatrain na meneja anajua kabisa aliowapanga wakati wa kutrain penalties.World class manager kama klop hawezo kusubiri muda wa penati gemu ya fainali ndo apange watu wa kupiga.Anakuwa ameshapanga,labda itokee mtu kaumia au hakuwepo uwanjani dk ya mwisho.

Waliopiga ndo waliokuwa vizuri kwenye training.Mwingine anaweza kukataa kupiga penati kwenye gem ya presha kama hii.Ni lazima penati ipigwe na wengine.Penati ni bahati tu ikikudodea ndo imetoka na ikikuchanganyia unapeta.
 
Na suala la nani atapiga penati wanakuwa wameshatrain na meneja anajua kabisa aliowapanga wakati wa kutrain penalties.World class manager kama klop hawezo kusubiri muda wa penati gemu ya fainali ndo apange watu wa kupiga.Anakuwa ameshapanga,labda itokee mtu kaumia au hakuwepo uwanjani dk ya mwisho.

Waliopiga ndo waliokuwa vizuri kwenye training.Mwingine anaweza kukataa kupiga penati kwenye gem ya presha kama hii.Ni lazima penati ipigwe na wengine.Penati ni bahati tu ikieadodea ndo imetoka na ikiiuchanganyia unapeya.
Basi huyu kocha amezingua kabisa. Maana anawajua wachezaji wake. Penati hazina mwenyewe hata yule fundi wa penati anaweza akakosa vile vile

Wenyewe wanasema one mistake one goal. Ndo imeshatokea hivyo. Poleni sana
 
inauma Aisee, mistakes nyingine huwez kuzitegemea kutoka kwa WC manager.

ushawahi kumuona Coutinho akipiga penalty?
The fight was real!The spirit was real!!
Tuwaponageze vijana kwa walicho onyesha,vijana wamecheza soka,vijana wamepigwa kwa penalty dakika 120

Wanakuja Jumatano home,watapigwa tu!Penalty yyt anakosa;100% ni discrete probability

Penalty hazina fundi
 
suala la kuwapa Lucas na coutinho wapige penalties ni upuuzi.
Ukweli ni kwamba Caballero os damn good inpenalties toka akiwa Malaga ya Spain, na penalty ya Licas ilikuwa ni kali sana, nilishangaa ilidakwa! Powerful drive, on the side, 5 feet from the ground, on target!!
Lwa ukumla penati za liver hazikuwa mbaya, ni Caballero alikuwa mzuri zaidi.
 
Na suala la nani atapiga penati wanakuwa wameshatrain na meneja anajua kabisa aliowapanga wakati wa kutrain penalties.World class manager kama klop hawezo kusubiri muda wa penati gemu ya fainali ndo apange watu wa kupiga.Anakuwa ameshapanga,labda itokee mtu kaumia au hakuwepo uwanjani dk ya mwisho.

Waliopiga ndo waliokuwa vizuri kwenye training.Mwingine anaweza kukataa kupiga penati kwenye gem ya presha kama hii.Ni lazima penati ipigwe na wengine.Penati ni bahati tu ikikudodea ndo imetoka na ikikuchanganyia unapeta.
Mnamtetea klopp bure tu..

regular penalty takers wa LFC kwa sasa ni Milner na henderson, na wachezaji wengine wazuri kwa penalties ni Emre can, Allen(injured), Origi na Benteke in any way hao lazma wapige penalties, haijalishi pressure ya mchezo, Man city wote waliopiga penalties ni regular penalty takers wao, usingeona Sterling/silva etc wanapiga penalties za mwanzo kabisa, huwez kumpa Lucas na Coutinho wakapige penalties za mwanzo kabisa, ni kosa kubwa sana la kiufundi..unalipwa 150k per week huwezi kukataa kwenda kupiga penalty, and there's no way Milner angekataa kwenda kupiga penalty, ni umakini mdogo wa Klopp, kachagua wachezaji ambao walikuwa na good game jana (Lucas na Cou) wakapige penalties bila kuzingatia ubora wao katika penalties.

and Wewe kama Captain (henderson) unafanya kazi gani? upo na coutinho since 2012, unajua dogo hajawahi kupiga penalties, then unashindwa kumshawishi manager asimpe cou penalty..
 
The fight was real!The spirit was real!!
Tuwaponageze vijana kwa walicho onyesha,vijana wamecheza soka,vijana wamepigwa kwa penalty dakika 120

Wanakuja Jumatano home,watapigwa tu!Penalty yyt anakosa;100% ni discrete probability

Penalty hazina fundi

Tukubaliane tu kuwa Klopp jana kabugi katika upangaji wa wapiga penalties..

penalties hazina fundi ndo maana talented players kama Suarez, Neymar, Coutinho, Lewa, Di Maria etc ni wabovu katika upigaji wa penalties, hata Messi japokuwa anaconvet most of his penalties but siyo mzuri kwenye upigaji penalties, penalties hazihitaji ufundi wala mafundi, penalties zinahitaji kujiamini na umakini..ndiyo maana unakuwa mtu kama Lambert ana record nzuri ya penalties kuliko Messi..

kwa pale LFC wapiga penalties wazuri tuliobaki nao ni Milner, Emre Can, Benteke, Origi, Allen, Lallana yule Henderson ni out regular penalty taker but ni m-bovu kwenye kupiga penalty..ndo maana kwenye games tunamtumia sana Milner, jana kama Milner na kina Origi wangepiga penalties wala nisingelalama humu, ndo maana huoni nikilalama kwa Lallana..my concern ni kuwapa penalties kina Lucas na cou, tena penalties za mwanzo, Navas ni shit player but ni penalty taker mzuri kuliko kina Aguero, ndo maana kaenda kupiga penalty ile ya pili iliyokuwa na presha kubwa, sasa sisi tunawapa kina Coutinho wakapige penalties..

jana Klopp kakosea, haina haja ya kumtetea kwa hilo. game ya besktas ile tuliyotolewa kwa penalties watu walihamaki sana humu Lovren alivyokosa penalty, but kwa kuwa sasa yupo Klopp tunaona sawa tu Coutinho kwenda kupiga penalty..

Fair critcism ni muhimu sana katika soccer.
 
Baada ya penalties za jana nimekuwa na hypothesis mbili ambazo bado ninazifanyia uchunguzi;

Either

'Brazilians are the worst penalty takers ever!' (Refer ya juzi kwenye FA alokosa Oscar wa Chelsea, waliokosa za Man city na wa Liverpool na Neymar most of the times).

OR

'Kocha anayewafundisha wa-Brazil kupiga penalty ndo huyohuyo anayemfundisha Caballero kudaka peanlties.'


Either way am so happy Liverpool wamelikosa kombe....mngechonga sana aiseeeeee...pheeew!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom